Wabunge walia fedha zilizotengwa uharibifu wa El-nino, ofisi zao

Dodoma. Kuchelewa kwa fedha za ujenzi wa miundombinu iliyoathiriwa na mvua za El-nino na mafuriko kumesababisha wabunge waikalie kooni Serikali, wakitaka kujua mustakabali wa barabara hizo zilizoharibika. Sambamba na hilo, wabunge hao wameibana Serikali kuhusu utaratibu wa usaili kwa ajira za walimu, wakisema si sawa kuwapima walimu wa sasa na wale waliohitimu miaka 10 iliyopita….

Read More

Wakulima Pwani kuchimbiwa visima, DC atoa angalizo

Kibaha. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imesaini mkataba wa mradi wa uchimbaji visima vitano vya umwagiliaji katika Mkoa wa Pwani utakaowanufanisha wananchi wa ndani na nje ya mkoa huo. Mradi huo ukikamilika utawanufaisha wananchi wa kijiji cha Gwata (Kibaha), Mwetemo (Chalinze), Mkupuka (Kibiti) na Mbwara (Rufiji) ambapo zaidi ya Sh311 milioni zinatarajiwa kutumika. Makubaliano…

Read More

Wasira: Uchaguzi Mkuu upo pale pale, awapa ujumbe Chadema

Mwanza. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 utafanyika kama ulivyopangwa na wala hakuna chombo chochote cha Serikali kinachoweza kuukwamisha. Wasema amesema wanaosema pasipo mabadiliko haufanyika wanaota ndoto ya mchana huku akiwaomba Watanzania kuendelea kujiandaa na uchaguzi huo ambao amedai CCM itaibuka na ushindi wa kishindo….

Read More

TUME YATOA NENO KWA WAENDESHA VIFAA VYA BVR TANGA, PWANI

Na Mwandishi wetu, Tanga Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometriki kutoa huduma bora kwa wananchi watakaojitokeza katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotaraji kuanza Februari 13 hadi 19, 2025 katika mikoa ya Tanga na Pwani. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru…

Read More

Mambo haya kuongeza wanawake kwenye sayansi

Dodoma. Serikali imetaja mambo manne yatakaosaidia ushiriki wa wanawake na wasichana katika sayansi ikiwemo kuanzisha mifumo rafiki ya kumotisha kwa wanaoshiriki na kufanya vizuri katika sayansi, teknolojia, uhandisi, hisabati (Stem). Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Ajira,Vijana, Kazi na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete leo Jumanne, Februari 11, 2025 wakati wa maadhimisho…

Read More

Rahim Aga Khan V atawazwa rasmi

Lisbon. Mtukufu Mwanamfalme Rahim Aga Khan V ametawazwa rasmi kuwa kiongozi wa jamii ya Ismaili na Imam wa 50, kwenye hafla iliyohudhuriwa na viongozi wa jamii ya Waislamu wa Shia Ismaili duniani. Hafla hiyo imefanyika leo Februari 11, 2025 katika ofisi kuu ya kiutawala ya Imam inayofahamika kwa jina la Diwan ya Ismaili Imamat iliyopo…

Read More