Lissu Aongoza Mazishi ya Kada wa Chadema Magugu, Manyara – Video – Global Publishers
Last updated Feb 11, 2025 Mwenyekiti wa Chama Taifa, Tundu Lissu akitoa heshima za mwisho kwenye ibada ya mazishi ya Kamanda Derick Magoma, Mwenyekiti mstaafu wa Chadema Mkoa wa Manyara, nyumbani kwa familia ya marehemu, kijiji cha Matufa, Magugu, Mkoani Manyara. MWILI wa Kamanda Derick Magoma, Mwenyekiti mstaafu wa Chadema Mkoa…