Familia za maelfu ya Wasiria 'zilitoweka' na serikali ya Assad inashiriki hadithi za upotezaji – maswala ya ulimwengu

Imekuwa miezi miwili tangu Bashar al-Assad, rais wa zamani wa Syria, alilazimishwa kukimbia nchini, kama vikosi vya waasi-sasa vimewekwa kama serikali ya mpito-juu ya Dameski, kukomesha miaka 50 ya utawala wa kidemokrasia na karibu14 miaka ya vita vya wenyewe kwa wenyewe. Nchi de facto Watawala wanakabiliwa na changamoto kubwa za kisiasa na kiuchumi, na pia…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Lowassa aliwatazama Watanzania kama rasilimali namba moja

Edward Ngoyai Lowassa, tayari ameshatimiza mwaka mmoja tangu alipovuta pumzi ya mwisho, Februari 10, 2024 akiwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Muhimbili. Ndani ya mwaka mmoja, mengi yametokea, mengine akiamshwa na kunong’onezwa, hata na mkewe Regina, atakataa. Lowassa anaweza kuamini vipi kuwa Freeman Mbowe si Mwenyekiti wa Chadema? Chama alichokitumia kama tawi la…

Read More

JUMANNE YA KUPIGA PESA NA UEFA HII HAPA.

LIGI ya mabingwa barani Ulaya, UEFA leo hii kupigwa mechi za Play-off ambapo wewe sasa nafasi ya kupiga mkwanja wa maana upo. Weka timu zako za ushindi na uondoke bingwa leo. Mechi ya mapema kabisa ni hii ya PSG vs Stade Brest huku timu zote zinakipiga kule Ufaransa LIGUE 1. Nafasi ya kushinda ndani ya…

Read More

Mayele ni rekodi juu ya rekodi Misri

Oktoba 3, 2024, Fiston Mayele alipiga pasi mbili za mwisho dhidi ya El Dakhlia ambazo zilichangia kuiwezesha Pyramids FC kupata ushindi wa mabao 2-0 na zikamfanya afikie rekodi moja tamu kwenye Ligi Kuu ya Misri. Pasi hizo mbili zilimfanya afikie rekodi ya Kabongo Kasongo ya kuwa raia wa DR Congo aliyepiga pasi nyingi za mwisho…

Read More

Mambo matano dakika 90 za Hamdi Yanga

KOCHA Miloud Hamdi, amezionja dakika 90 za kwanza akiwa benchi akiiongoza Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania. Mchezo huo wa Ligi Kuu Bara uliomalizika kwa matokeo ya 0-0, umepigwa Februari 10, 2025 kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni, Dar es Salaam. Hamdi amerithi mikoba ya Sead Ramovic aliyeondoka Yanga…

Read More

Netanyahu awa mbogo mahakamani, tuhuma za rushwa zamtafuna

Mwanza. Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amepanda kwa mara nyingine kizimbani katika mahakama mjini Tel Aviv nchini humo kujibu mashtaka ya muda mrefu ya rushwa yanayomkabili. Mashtaka yanayomkabili Netanyahu, ni mwendelezo wa majanga dhidi ya waziri mkuu huyo ambaye hivi karibuni, majaji katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), walitoa hati maalumu ya kukamatwa…

Read More