MCHENGERWA ATOA WITO KWA WAANDISHI WA HABARI KUPAMBANIA TUZO ZA KITAALUMA

Na Mwamvua Mwinyi, BAHIFebruari 10, 2025 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Muhammed Mchengerwa ametoa wito kwa waandishi wa habari nchini kujitokeza kupambania tuzo mbalimbali zinazotolewa, kwani ni fursa inayowatambulisha ufanisi kwenye umma na inaimarisha utendaji wa kazi zao. Alitoa wito huo wakati akikabidhi tuzo kwa waandishi wa habari mahiri 15 kutoka mikoa mbalimbali,…

Read More

Imperialism (bado) sheria – maswala ya ulimwengu

Maoni na Jomo Kwame Sundaram (Harare, Zimbabwe) Jumanne, Februari 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari HARARE, Zimbabwe, Februari 11 (IPS) – Wengi huko Magharibi, ya kulia na kushoto, sasa wanakataa ubeberu. Kwa Josef Schumpeterempires zilikuwa za kibepari za kabla ya ubepari ambazo hazingeishi kuenea kwa ubepari. Lakini hata kihafidhina Mchumi Inabainisha uamsho wa Rais…

Read More

Bodaboda zaua 1,113 ndani ya miaka mitatu Tanzania

Dodoma. Wananchi 1,113 wamepoteza maisha kutokana na ajali zilizosababishwa na pikipiki maarufu bodaboda katika kipindi cha 2022 hadi 2024, Bunge la Tanzania limeelezwa. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Daniel Sillo ametoa takwimu hizo bungeni jijini Dodoma leo Jumanne Februari 11, 2025 wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maalum, Fatuma Hassan Toufiq….

Read More

Hamdi aongeza dozi Yanga, mastaa wakiona cha moto

KATIKA kuhakikisha ile Gusa Achia Pro Max inafanya kazi ipasavyo, kocha mpya wa Yanga, Miloud Hamdi ameongeza dozi kwa mastaa wa timu hiyo. Achana na mazoezi ya kabla ya mechi wanayoyafanya wakiwa Avic Town au wakati mwingine KMC Complex, dozi imeongezwa katika mazoezi muda mfupi baada ya mechi. Yanga imekuwa na utaratibu wa kufanya mazoezi…

Read More

Gachuma, DC Serengeti walivyonusurika kifo ajalini

Musoma. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa anayewakilisha mkoa wa Mara, Christopher Gachuma pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kemirembe Lwota wamepata ajali ya gari jana Februari 9, 2025 wakiwa njiani kwenda kumpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira. Akizungumza leo Jumatatu Februari 10, 2025 Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More