Alama za nyakati zilivyomponza mchungaji Malisa CCM

Februari 10, 2025, inaweza kuwa siku mbaya katika historia ya kisiasa kwa mwanazuoni Dk Godfrey Malisa baada ya kufukuzwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM). Hata hivyo, ninachokiona ni kwamba kada huyo hakuwa amesoma alama za nyakati. Nasema hakusoma alama za nyakati kwa kuwa kilichomfukuzisha uanachama hakitofautiani sana na kilichomfukuzisha Bernard Membe (sasa marehemu), nacho…

Read More

Wananchi wa Hai, Simanjiro na Arumeru wafunga barabara kwa saa nne

Manyara. Wananchi wa Kata ya Kia (Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro), Kata ya Majengo (wilayani Arumeru, Mkoa wa Arusha), na Kata ya Naisinyai (wilayani Simanjiro, Mkoa wa Manyara) wameandamana kushinikiza Serikali kutatua changamoto zinazowakabili, ikiwemo eneo korofi linalosababisha mafuriko mara kwa mara. Kwa mujibu wa wananchi hao, mafuriko hayo yamesababisha vifo, majeruhi, na uharibifu…

Read More

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MKUTANO WA NEPAD

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania inaendelea na dhamira yake ya kushiriki katika kutekeleza Ajenda ya Maendeleo ya Afrika 2063 kupitia uwekezaji wa kimkakati katika sekta mbalimbali kama vile Miundombinu ya Usafirishaji, Nishati, Kilimo, Viwanda, TEHAMA, Uhifadhi wa Mazingira pamoja na maendeleo ya Rasilimali watu. Makamu…

Read More

Kumbe Diarra kamfunika hapa Camara

KIKOSI cha Yanga jana jioni kilishuka uwanjani kuvaana na JKT Tanzania katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini kipa namba moja wa kikosi hicho, Djigui Diarra alikuwa anaumiza kichwa kwa alichokifanya dakika 1080 zilizopita sawa na mechi 12 alizocheza. Diarra ambaye huu ni msimu wa nne anacheza Ligi Kuu Bara, kabatini ana tuzo mbili za…

Read More

Aliyewazuia Dube, Mzize afichua siri, amtaja Chama

YALE makali ya washambuliaji wa Yanga, Clement Mzize na Prince Dube waliyoyaonyesha mechi saba zilizopita katika Ligi Kuu Bara, kipindi cha Kocha Sead Ramovic, yamezimwa leo Jumatatu na JKT Tanzania. Waliofanya kazi kubwa ya kuzima ubora huo ni mabeki wa JKT wakiongozwa na nahodha Edson Katanga na Wilson Nangu waliocheza pacha beki wa kati katika…

Read More