RC SIMIYU AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUTUNZA AMANI,KUSIMAMIA HAKI

Na Mwandishi Wetu,Simiyu MKUU wa Mkoa wa Simiyu Kenani Kihongosi amesisitiza umuhimu wa wananchi kutunza amani na kama kuna changamoto au kero basi yeye pamoja na viongozi wengine wa mkoa wapo tayari kutafuta majawabu kwa njia inayostahili. Kihongosi ametoa kauli hiyo alipokuwa anazungumza katika Machimbo ya Ikinabushu mkoani Simiyu na kupokelewa na maelfu ya wananchi…

Read More

Odhiambo: Ukijipanga unacheza BDL | Mwanaspoti

KOCHA wa Polisi, Zadock Odhiambo amesema timu inayofanya maandalizi mazuri katika Ligi Daraja la Kwanza, Mkoa wa Dar es Salaam, ndiyo itakayopanda BDL. Odhimabo aliliambia Mwanaspoti, kwa misimu mitano katika ligi hiyo, amegundua kama timu inayojipanga vizuri ndiyo yenye nafasi kubwa ya kucheza BDL akizitolea mfano  DB Oratory, KIUT, Dar City, Crows, Polisi, Stein Warriors…

Read More

Tanzania na Malawi zakubaliana kuhamishiana wafungwa

Dar es Salaam. Katika kuendeleza ushirikiano muhimu wa kidiplomasia, nchi za Tanzania na Malawi zimesaini hati ya makubaliano kwenye sekta ya afya sambamba na mkataba wa kuhamisha wafungwa. Kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje, makubaliano hayo yamesainiwa Februari 26, 2025 wakati wa Mkutano wa Sita wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano (JPCC) kati…

Read More

Umuhimu wa Kuchagua Huduma za Usalama wa Moto

Moto ni moja ya majanga hatari yanayoweza kutokea bila tahadhari, na madhara yake yanaweza kuwa makubwa kwa maisha ya watu, mali, na miundombinu. Kila mwaka, moto husababisha vifo, ulemavu, na uharibifu mkubwa wa mali, hivyo ni muhimu kuchukua hatua za tahadhari ili kuzuia na kupambana na matukio haya. Huduma za usalama wa moto ni suluhisho…

Read More

Kurasini Heat kuongeza mashine mpya

BAADA ya kurudi Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), mabosi wa Kurasini Heat, wamepanga kukisuka upya kikosi hicho kwa kuleta mashine za maana ili kurejesha makali katika ligi hiyo. Kurasini iliwahi kubeba ubingwa wa BDL mwaka 2020, baada ya kuifunga JKT michezo 3-1, lakini ilishuka daraja msimu wa 2021 kutokana na…

Read More

KANDASIKIRA WAISHUKURU FAJU 45 KUWAJENGEA OFISI

Na Mwandishi wetu, Simanjiro WAKAZI wa Kijiji cha Kandasikira Kata ya Shambarai Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wameishuku kampuni ya Faju 45 company LTD kwa kuwajengea ofisi ya kisasa. Pamoja na kujenga ofisi ya kisasa iliyogharimu sh. 20 milioni pia kampuni ya Faju 45 LTD kupitia Mkurugenzi wake Safina Msangi, imenunua samani za ofisi za ndani…

Read More

AMCOS ZA PWANI ZATAKIWA KUACHANA NA OFISI ZA MABEGI

Mwenyekiti wa chama kikuu cha ushirika cha Pwani (CORECU), Mussa Hemedi mng’eresa akiwaambia viongozi wa AMCOS za Pwani umuhimu wa kuwa na ofisi pamoja na vitega uchumi vingine nje ya ushuru wanaopata kwa wakulimaMwenyekiti wa chama kikuu cha ushirika RUNALI Odas Mpunga akiwaambia viongozi wa AMCOS za mkoa wa Pwani namna gani uwepo wa ofisi…

Read More