Ukata unavyoliandama Bunge la Afrika Mashariki,Spika alia

Dar es Salaam. Siku tatu baada ya kuahirishwa kwa vikao vya Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Spika wa Bunge hilo, Joseph Ntakirutimana amesema hakuna shughuli za Bunge hilo zilizosimama licha ya changamoto za kifedha zinazoikabili jumuiya hiyo. Ntakirutimana amebainisha hayo baada ya kutafutwa na Mwananchi kufafanua kuhusu athari zitakazojitokeza baada ya kufanyika kwa uamuzi wa…

Read More

Nambari tatu muhimu – maswala ya ulimwengu

Karibu Waafrika milioni 600 bado wanakosa ufikiaji wa umeme wa kuaminika, ambayo ni karibu nusu ya idadi ya watu wa bara na zaidi ya asilimia 80 ya pengo la upatikanaji wa umeme ulimwenguni. Mikopo: Raphael Pouget / Vielelezo vya hali ya hewa Kuhesabu kupitia UNDP Maoni na Yacoub El Hillo (Asmara, Eritrea) Jumatatu, Februari 10,…

Read More

WASIRA AMJULIA HALI GACHUMA KATIKA HOSPITALI YA BUGANDO

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amemjulia hali Mjumbe wa Halmashauri Kuu yaTaifa (NEC), Ndugu Christopher Gachuma ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda, Bugando jijini Mwanza. Ndugu Gachuma amelazwa hospitalini hapo baada ya kupata ajali ya gari jana katika Kijiji cha Gesarya, Kata ya Lung’abure, wilayani Serengeti Mkoa…

Read More

DC KILWA AKEMEA BIASHARA ZA MAGENDO

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi Mohamed Nyundo amewaasa wafanyabiashara na wananchi wa Kilwa kuacha kujihusisha na biashara za magendo kwani zina athari mbaya kwa jamii na uchumi wa nchi. Nyundo ameyasema hayo leo Februari 10, 2025 wakati alipotembelewa na Timu ya Maafisa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) waliofika ofisini kwake kwa lengo…

Read More

MFUMO WA NeST WADAIWA KUWA CHANGAMOTO KWA WAZABUNI

Na. Samson Samson, Njombe Kutokana na serikali kutumia mfumo wa NeST katika kuomba Zabuni za miradi mbalimbali, imeelezwa kuwa mfumo huo umekuwa ni changamoto kupata wazabuni kwa wakati sambamba na kutokuwa na ukomo wa muda wa ukamilishaji mradi. Akisoma taarifa ya mradi wa shule mpya ya sekondari Chief Dastan Masasi iliyopo katika kata ya Masasi,mbele…

Read More

DC Serengeti, mjumbe CCM walivyonusurika kifo ajalini

Musoma. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa anayewakilisha mkoa wa Mara, Christopher Gachuma pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kemirembe Lwota wamepata ajali ya gari jana Februari 9, 2025 wakiwa njiani kwenda kumpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira. Akizungumza leo Jumatatu Februari 10, 2025 Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More

Bodi ya mikopo yatoa Sh8.2 trilioni

Dodoma. Jumla ya Sh8.2 trilioni zimeshatolewa mkopo kwa zaidi ya wanufaika 830,000 wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu. Takwimu hizo zimetolewa jijini Dodoma leo Jumatatu Februari 10, 2025 na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Carolyne Ndombo wakati akifungua Maadhimisho ya miaka 20 ya Bodi ya Mikopo ya…

Read More