Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa

Moshi. Licha ya Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuridhia kwa kishindo, kumpitisha Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa chama hicho kwa nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu, kuna makada wameonekana kutoridhika na uamuzi huo wa kidemokrasia. Zipo taarifa kuwa baadhi ya makada wa CCM waliokuwa wakijipanga kuwania…

Read More

Ukandamizaji wa kikatili wa Belarusi unaendelea uchaguzi wa rais – maswala ya ulimwengu

Flashback hadi 2020 maandamano dhidi ya uchaguzi ulio ngumu. Mikopo: Andrew Keymaster/Unsplash Na Ed Holt Jumatatu, Februari 10, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Februari 10 (IPS) – Katika miezi inayoongoza kwa uchaguzi wa rais mwishoni mwa Januari, kiongozi wa mamlaka ya Belarusi Alexander Lukashenko aliamuru kuachiliwa kwa mamia ya wafungwa wa kisiasa. Wachunguzi wengine…

Read More

Ujumbe wa Sugu kwa wanachadema huu hapa

Mbeya. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu amewataka wanachama na wafuasi wa chama hicho kuondoa tofauti zilizokuwepo wakati wa uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti Taifa badala yake waungane kufikia malengo. Uchaguzi wa chama hicho katika nafasi mbalimbali ngazi ya Taifa ulifanyika Januari 21, 2025, ambapo Tundu…

Read More

Baba wa marehemu Dk Magoma afunguka kuhusu mwanaye

Arusha. Baba mzazi wa marehemu Dk Derick Magoma, Jumanne Magoma amesema atamkumbuka mwanaye kwa maono yake makubwa ya kiuchumi katika ngazi ya familia hadi Taifa kwa ujumla. Ameenda mbali zaidi akisema anatamani kungekuwa na uwezekano wa kuchota akili na maono ya marehemu Derick ampandikize mmoja wa ndugu zake ili kuhakikisha yanatimia na kuleta manufaa aliyokuwa…

Read More

Jinsi Bunge lilivyobaini suluhu ya hasara ATCL

Dodoma. Bunge limebaini hasara ya miaka mitatu mfululizo kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kwamba inasababishwa na utaratibu wa ukodishaji kutoka Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA). Ni kutokana na utaratibu huo, Bunge limetoa Azimio kuwa, hadi ifikapo Juni mwaka huu, Serikali ikamilishe mchakato wa kuhamisha ndege kutoka TGFA kwenda ATCL. Mwenyekiti wa Kamati ya…

Read More

Hamdi abanwa jeshini, Yanga yaangusha pointi

MBINU za makocha Ahmad Ally (JKT Tanzania) na Miloud Hamdi (Yanga) zimeonekana kutoshana nguvu katika dakika 45 za kwanza wakati timu hizo zilipopambana kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar. Hamdi ambaye alikaa kwa mara ya kwanza kwenye benchi la Yanga kuiongoza timu hiyo katikq mechi ya ligi tangu atambulishwe Februari 4, 2025, alishuhudia dakika…

Read More