Tanroads kujenga mzani Uyui kudhibiti uharibifu wa barabara

Tabora. Zaidi ya Sh15 bilioni zimetengwa kutekeleza mradi wa ujenzi wa mizani wa kupima uzito wa magari utakaowabana madereva wanaopitisha kinyemela mizigo mikubwa katika eneo la Kizengi lililopo Wilaya ya Uyui mkoani Tabora. Akizungumza Februari 9, 2025 wakati akikagua ujenzi huo, Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroad) Mkoa wa Tabora, Raphael Mlimani amesema baadhi…

Read More

Tanzania inavyofaidika na mikutano ya kimataifa

Dar es Salaam. Ukiachana na malalamiko ya msongamano wa magari na kufungwa kwa muda kwa baadhi ya barabara hususan jijini Dar es Salaam, mikutano mikubwa inayofanyika nchini ni nyenzo ya kusisimua uchumi unaolinufaisha taifa na hatimaye mwananchi mmoja mmoja. Kwa mujibu wa wanazuoni wa uchumi na wadau wa utalii wa mikutano, changamoto zinazolalamikiwa inapotokea mikutano…

Read More

Benki itakavyodhibiti vikundi hewa mikopo asilimia 10

Dar es Salaam. Kuanza kutumia benki kama njia ya utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri nchini Tanzania imetajwa kuwa mwarobaini wa utoaji wa fedha kwa vikundi hewa uliokuwa ukitokea awali. Hiyo ni kutokana na benki kuwa na ubobezi katika kufanya tathmini kujua uhalali wa kikundi, shughuli wanazozifanya na uwezekano wa kurejeshwa kwa fedha…

Read More

Wananchi Manyara kulipia maji kabla ya matumizi

Babati. Mamlaka ya Maji na usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) mkoani Manyara imeanza kusambaza mita za maji za malipo kabla ya matumizi ili kuiwezesha jamii kunufaika na huduma hiyo na kuondokana na mrundikano wa madeni. Akizungumza leo Februari 10, 2025 kwenye ziara ya ukaguzi wa majaribio ya mita hizo mkoani Manyara, mwenyekiti wa kamati ya…

Read More

Bosi wa Jatu atoa ombi kortini, agomewa

Dar es Salaam. Mshtakiwa Peter Gasaya (33) ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya JATU PLC, anayekabiliwa na kesi uhujumu uchumi, amemuomba hakimu anayesikiliza kesi yake, asisaini hati yake ya kumtoa gerezani na kumpeleka mahakamani mpaka hapo upelelezi wa kesi yake utakapokamilika. Gasaya anakabiliwa na mashtaka mawili ambayo ni kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya…

Read More

Serikali yaachia Sh254 bilioni kulipa makandarasi

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali imelipa takribani Sh254 bilioni ndani ya miezi miwili kwa wakandarasi mbalimbali wanaotekeleza miradi ya barabara na madaraja nchini. Kufanyika kwa malipo hayo kwa mujibu wa Ulega ni utejkelezwaji wa maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyetaka makandarasi wote wanaotekeleza kazi mbalimbali walipwe. Hata hivyo, mapema…

Read More