Matengenezo Barabara ya Seronera, uwanja wa ndege yaanza

Serengeti. Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) limeanza matengenezo makubwa ya barabara muhimu inayotumiwa na watalii kuanzia Seronera hadi Robo. Aidha imeanza kukarabati uwanja wa ndege wa Seronera unaopokea idadi kubwa ya ndege kwa viwanja vilivyopo ndani ya Hufadhi za Taifa, lengo la maboresho likiwa ni kuboresha miundombinu ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Akizungumza…

Read More

Uchunguzi kesi ya jengo lililoporomoka Kariakoo bado

Dar es Salaam. Serikali imesema bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili wanaodaiwa kuwa ni wamiliki watatu wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, wamedai upelelezi haujakamilika. Washtakiwa hao ambao wote ni wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ni Leondela Mdete (49) mkazi wa Mbezi Beach,…

Read More

Minziro aona mwanga Pamba Jiji

BAADA ya Pamba Jiji kuvuna pointi sita katika mechi mbili mfululizo mara ya kwanza msimu huu katika Ligi Kuu Bara, kocha wa timu hiyo Fred Felix ‘Minziro’ amewataka wachezaji kuendelea kujitoa ili kuwa mbali na janga la kushuka daraja. Pamba Jiji ilivuna pointi hizo kwa kuzifunga Dodoma Jiji na Azam FC bao 1-0 kila moja…

Read More

Mwendokasi yashusha mabasi 100 yanayotumia gesi, full AC

Dar es Salaam. Kilio cha muda mrefu cha usafiri wa mabasi yaendayo haraka kinatarajia kumalizika baada ya Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (Udart) kushusha mabasi ya kisasa 100. Awamu ya kwanza ya mradi inajumuisha barabara za Morogoro kutoka Kimara hadi Kivukoni-Kimara Gerezani na Kimara Morocco, ambayo ilianza kutoa huduma mwaka 2016 baada ya kuzinduliwa na…

Read More

Simba, Tanzania Prisons mechi ya mtego

KOCHA Fadlu Davids kesho ana kazi ya kuiongoza Simba kurekebisha ilipokosea mechi iliyopita itakapoikaribisha Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex, Dar kuanzia saa 10 jioni. Fadlu ambaye anapambana kuirudisha Simba kileleni mwa msimamo wa ligi, alishuhudia mechi iliyopita wakiambulia sare ya 1-1 ugenini dhidi ya Fountain Gate –…

Read More