Kikotooo chaibuka tena bungeni | Mwananchi

Dodoma. Wabunge wanne wa Tanzania wameliamsha tena bungeni wakitaka Serikali iangalie upya kikokotoo cha mafao ya kustaafu kwa kuwa bado kuna malalamiko huku wengine wakisema kiwango cha pensheni cha kila mwezi hakilingani na gharama za maisha.  Kilio cha kikotoo kimekuwa kisikika kwa nyakati tofauti bungeni tangu Julai 1, 2022, Serikali ilivyotangaza matumizi ya kanuni mpya…

Read More

Kikotooo chaibua tena bungeni | Mwananchi

Dodoma. Wabunge wanne wa Tanzania wameliamsha tena bungeni wakitaka Serikali iangalie upya kikokotoo cha mafao ya kustaafu kwa kuwa bado kuna malalamiko huku wengine wakisema kiwango cha pensheni cha kila mwezi hakilingani na gharama za maisha.  Kilio cha kikotoo kimekuwa kisikika kwa nyakati tofauti bungeni tangu Julai 1, 2022, Serikali ilivyotangaza matumizi ya kanuni mpya…

Read More

Kitendawili cha elimu, malezi ndani ya zama za dijitali

Siha.Teknolojia imeleta mapinduzi makubwa katika maeneo mbalimbali, likiwamo eneo la  makuzi na malezi ya watoto. Unapozungumzia makuzi na malezi ya watoto katika zama hizi za utandawazi, unabaki na maswali mengi kwa wazazi na walezi,  huku kila mmoja akitafakari ni namna gani anaweza kuushinda mtihani huo katikati ya mabadiliko makubwa ya sayansi na teknolojia. Mtihani huo…

Read More

SERIKALI YA MTAA MUUNGANO YAGUSA MAHITAJI YA WANANCHI

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SERIKALI ya Mtaa wa Muungano Marobo kata ya Goba Wilayani Ubungo, Jijini Dar es salaam imepiga hatua kubwa ndani ya miezi miwili ya uongozi mpya ulichaguliwa Novemba 27,2024 katika sekta ya maji,elimu pamoja na suala la uchumi ambapo katika upande wa sekta ya maji tayari wamefanikiwa kupeleka mabomba kwaajili ya…

Read More

‘ACT Wazalendo kuunda Serikali kwa falsafa jumuishi’

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema chama hicho kinaamini kuunda Serikali kwa kutumia falsafa jumuishi ambayo haitabagua vijana Wazanzibari kutokana na itikadi na imani za vyama vyao tofauti vya siasa. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ameyasema hayo viwanja vya Stela Daraja bovu Welezo Wilaya ya…

Read More

Vijiji 23 vinavyopambana mahakamani kujinasua kufutwa Mbarali

Dar es Salaam. Baada ya Mahakama Kuu Masjala Ndogo Mbeya kutupilia mbali moja kati ya kesi mbili zilizofunguliwa mahakamani hapo na wananchi kutoka vijiji 23 vikipinga kusudio la Serikali kutaka kuvifuta, sasa wananchi hao wanakwenda Mahakama ya Rufani kupambana kurejesha kesi hiyo ili wapate kusikilizwa. Hiyo ni moja kati ya kesi tatu, zilizofunguliwa na wanavijiji…

Read More