Miloud Hamdi aanzia jeshini | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Yanga wanataka kuona mavitu ya kocha mpya wa timu hiyo, Miloud Hamdi wakati atakapokiongoza kikosi hicho katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania, utakaopigwa saa 10:15 jioni Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Kocha huyo aliyetua nchini kwa mara ya kwanza Desemba 30, mwaka jana kuinoa Singida Black Stars, alitambulishwa…

Read More

Balaa la Waarabu! Kumng’oa Ngoma Msimbazi

KLABU kutoka ukanda wa Afrika Kaskazini, maarufu kama Waarabu wameendelea kuvuna watu kutoka katika Ligi Kuu Bara baada ya safari hii kuivamia Simba na kumwekea mezani kiungo Fabrice Ngoma kitita cha pesa. Taarifa ya kutakiwa kwa Ngoma zimekuja huku tayari Waarabu wakiwa wameshamvuta aliyekuwa kocha wa Yanga, Sead Ramovic na mshambuliaji wa Singida BS aliyekuwa…

Read More

Miloud kuibuka na ‘Gusa Achia Pro Max’

KIKOSI cha Yanga kinashuka uwanjani leo kukabiliana na JKT Tanzania, lakini mashabiki wa timu hiyo watakuwa na shauku ya kujua ubora wa kocha mpya Hamdi Miloud basi Mwanaspoti linakupa kwamba jamaa ameibakisha ile falsafa ya Gusa Achia Twende Kwao kwa kuiboresha zaidi. Gusa Achia ni falsafa alikuja nayo Sead Ramovic alipotua Yanga akitokea TS Galaxy…

Read More

Dili la Mzize layeyuka Libya

LILE dili la bilioni 3 limeota mbawa. Ndicho unachoweza kusema baada ya miamba ya soka ya Libya Al Ettihad kuachana na mpango wa kumsajili straika wa Yanga, Clement Mzize na badala yake kunasa saini ya raia wa Botswana. Nyota huyo amejiunga na kikosi hicho akitokea AS FAR Rabat ya Morocco aliyojiunga nayo Januari mwaka jana…

Read More

Madawati ya jinsia polisi yatakiwa kuongeza uadilifu

Unguja. Kamisheni ya Zanzibar, Naibu Kamishna wa Polisi, Simon Chillery amewataka maofisa wa madawati ya jinsia na watoto (PGDs) kuongeza nguvu na uadilifu katika kushughulikia kesi za udhalilishaji na ukatili dhidi ya watoto ili kuhakikisha kesi hizo zinafika haraka mahakamani. Amesema ingawa matukio ya unyanyasaji yanaonekana kupungua kwa asilimia 12.8, bado inahitajika juhudi kubwa za…

Read More

Majaliwa aagiza kukamilishwa kwa sheria ya anwani za makazi

Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ikamilishe sheria ya anwani za makazi ili kuweka utaratibu wa kisheria utakaowalinda wananchi katika kutumia mfumo huu. Amesema sheria hiyo itasaidia kuweka masharti ya kimsingi kwa matumizi ya anwani za makazi, ikiwa ni pamoja na kupokea huduma na kuhakikisha kuwa matokeo ya…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AMTEMBELEA MWALIMU ALIYANI LEO 8-2-2025

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu ya msahafu na Mwanazuoni Maarufu Zanzibar Sheikh.Ali Hemed Jabir (Mwalimu Aliyani) ambae ni Imamu Mkuu wa Msikiti wa Mchangani, Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 8-2-2025,baada ya kumaliza mazungumzo alipofika  nyumbani kwake mtaa wa mchangani kwa ajili ya…

Read More