WASIRA APIGA MARUFUKU VYAMA VYA UPINZANI KUWATUMIA VIJANA MKOA WA MARA KUFANYA VURUGU MIKOA MINGINE

  Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali. Amesema CCM inamipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini. Wasira…

Read More

Siri mizizi ya rushwa kwenye chaguzi hii hapa

Dar es Salaam. Kuimarishwa mifumo ya uteuzi wa wagombea ndani ya vyama, kufutwa mtazamo wa mavuno nyakati za uchaguzi na umakini wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), yametajwa kuwa mambo muhimu yanayopaswa kufanywa ili kukabili vitendo vya rushwa katika uchaguzi. Kwa mujibu wa wadau wa siasa, vitendo vya rushwa nyakati za uchaguzi…

Read More

Samatta atupia mawili Paok ikishinda tano

Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars, Mbwana Samatta jana aliisaidia timu yake ya Paok kupata pointi tatu muhimu baada ya kuifungia mabao mawili kwenye mchezo wa Ligi Kuu nchini Ugiriki dhidi ya OFI Crete. Katika mchezo huo Paok ndiyo walikuwa wageni wa OFI Crete kwenye Dimba la Thódoros Vardinoyánnis ambapo staa wa…

Read More

Maniche aingiwa ubaridi, City yajibu mapigo

Wakati mashabiki wa Mtibwa Sugar wakianza hesabu za vidole kwa chama lao kurejea tena Ligi Kuu, kocha wa timu hiyo Awadh Juma ‘Maniche’ amesema bado wana kazi kubwa ya kufikia malengo hayo, huku akieleza wanacheza kwa hofu ili kutotibua mipango. Kauli ya kocha huyo inajiri baada ya kikosi hicho kilichoshuka daraja msimu uliopita kutoka suluhu…

Read More

Kaseke aiua Azam FC jiooni Kirumba

BAO la dakika ya 88 lililofungwa na nyota wa zamani wa Yanga, Deus Kaseke limetosha kuipatia ushindi Pamba Jiji wa 1-0, dhidi ya matajiri wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, katika mchezo wa Ligi Kuu uliopigwa Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza. Kaseke aliyejiunga na timu hiyo msimu huu akiwa mchezaji huru, amepachika bao…

Read More