Mpango wowote wa amani lazima uheshimu uhuru wa kitaifa, mjumbe wa UN anasema – maswala ya ulimwengu

Katika mahojiano ya kipekee na Un neHuduma ya Kiarabu ya WS huko New York, Ramtane Lamamra alisisitiza kwamba suluhisho lazima iwe ya kisiasa, ikitaka kutegemea hekima na uwezo wa kukabiliana na sababu za mizizi zilizosababisha mzozo wa kikatili. Alithibitisha kwamba watu wa Sudan ni huru na wanasema mwisho katika siku zao za usoni. Hali inayozidi…

Read More

Bocco aukubali mziki wa Mzize, Ateba

NAHODHA wa zamani wa Simba na Taifa Stars ambaye kwa sasa anakipiga JKT Tanzania, John Bocco amemtaja Leonel Ateba (Simba) na Clement Mzize (Yanga) kuwa ni wachezaji halisi wa kati wenye uwezo wa kumiliki mpira na kufunga. Bocco amesema Ateba ana uwezo mkubwa wa kufunga, kumiliki mpira na kulimiliki eneo la mbele vizuri kwa kujitegemea…

Read More

BALOZI NCHIMBI AWASILI NAMIBIA MSIBA WA SAM NUJOMA

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili nchini Namibia, akiongoza ujumbe wa CCM kwenye mazishi ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa hilo, Dkt. Sam Shafiishuna Nujoma, yatakayofanyika tarehe 1 Machi, 2025.Balozi Dkt. Nchimbi pamoja na msafara wake aliongozana nao, ambao pia yumo Katibu wa…

Read More

Blanco anahesabu siku tu Azam FC

KLABU ya Azam inatarajia kufanya mabadiliko makubwa katika safu ya ushambuliaji mwishoni mwa msimu huu ikiwamo kumtema mshambuliaji wa kati, Jhonier Blanco aliyeshindwa kuonyesha kiwango cha juu tangu alipojiunga na timu hiyo. Blanco, aliyesajiliwa kutoka Rionegro Aguila ya Colombia, alitarajiwa kuwa mchezaji muhimu katika safu ya ushambuliaji ya timu hiyo, lakini hadi sasa ameshindwa kumudu…

Read More

Pamba yakwepa mtego wa Yanga

DOZI nene zinazoendelea kutolewa na Yanga katika mechi za Ligi Kuu Bara zimelishtua benchi la ufundi la Pamba Jiji ambalo limetangaza kujipanga mapema kukwepa mtego huo kwa kuzungumza mapema na wachezaji kuhakikisha hawaingii wanmaepuka kupigwa nyingi wakiwa nyumbani. Pamba kesho Ijumaa inatarajiwa kuwa wenyeji wa mchezo huo wa raundi ya 22 utakaopigwa kwenye Uwanja wa…

Read More

MSAADA WA KISHERIA WA MAMA SAMIA WAWAFIKIA WANAFUNZI CHALINZE

Baadhi ya wanafunzi kutoka jimbo la Chalinze, mkoani Pwani, wamejitokeza katika kampeni ya msaada wa kisheria ya MAMA SAMIA, kutoa changamoto zinazowakabili katika malezi na matunzo ili kupata ushauri wa kisheria na ufumbuzi. Vilevile, baadhi ya wananchi wameeleza kusogezwa karibu kwa huduma za kisheria kwenye kata na vitongoji ni mkombozi mkubwa.  Akizungumza na wanafunzi wa…

Read More