Polisi Tanzania Top 4 inawatosha

KOCHA wa Maafande wa Polisi Tanzania, Mussa Rashid amesema moja ya malengo aliyopewa ni kuhakikisha timu hiyo inamaliza nne bora ‘Top Four’, na wanahitaji sapoti zaidi kutoka kwa mashabiki na viongozi ili kufikia hilo. Akizungumza na Mwanaspoti, Mussa alisema wachezaji wengi waliopo katika kikosi hicho ni wapya na ameanza majukumu yake kwa muda mfupi wakati…

Read More

Madina, Vicky wakwama gofu Sauzi

NYOTA wa Tanzania, Madina Iddi na Vicky Elias wameambulia patupu kwenye mashindano ya gofu ya mashimo 36 ya R&A yaliyofanyika Afrika Kusini, mmoja akimaliza nafasi ya 14 huku mwingine akijitoa. Michuano hii ya siku tatu iliyojumuisha mashimo 54, ilimalizika mwishoni mwa juma katika viwanja vya Leopard Creek, mjini Mpumalanga, Afrika ya kusini na kushirikisha nyota…

Read More

Charles M’Mombwa mdogo mdogo Newcastle

KIUNGO Mtanzania, Charles M’Mombwa anayekipiga Newcastle Jets ya Australia taratibu anaanza kuingia kwenye kikosi hicho kinachoshiriki Ligi Kuu ya nchini humo. Huu ni msimu wake wa kwanza nyota huyo kuichezea Newcastle lakini sio mgeni wa ligi hiyo kwani hapo awali aliichezea Macarthur FC kwa misimu minne kuanzia msimu 2020/24. Ikiwa raundi ya 18 ya ligi,…

Read More

Mamia ya askari wa Rwanda wadaiwa kuuawa vitani DRC

Dar es Salaam. Mamia ya wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) wameripotiwa kuuawa katika operesheni za siri Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Kuuawa kwa wanajeshi hao katika operesheni hiyo kunapingana na msimamo wa Serikali ya Rwanda inayodai askari wake hawahusiki wala kushiriki katika mzozo unaoendelea kati ya M23 na DRC….

Read More

Gilbert: Cosmopolitan inahitaji morali tu

KIUNGO wa Cosmopolitan, Gilbert Boniface amesema kikosi hicho kwa sasa kinapitia kipindi kigumu kutokana na kutokuwa na mwenendo mzuri katika Ligi ya Championship, licha ya kukiri wachezaji kijumla wanajitoa kuipigania timu yao. Kauli ya nyota huyo inajiri baada ya timu hiyo kushinda michezo miwili tu kati ya 17 hadi sasa, ikitoka sare miwili na kupoteza…

Read More

Mnamzingatia Novatus Miroshi? lakini… | Mwanaspoti

ACHANA na beki Ibrahim Abdullah ‘Bacca’ wa Yanga kuingia kambani mara nne akiwa ni beki pekee mwenye mabao mengi Ligi Kuu, kuna kiraka Novatus Miroshi wa Goztepe ya Ligi Kuu ya Uturuki (Süper Lig) anafanya balaa. Kwenye Ligi Kuu Bara, Bacca amefunga mabao hayo manne akiisaidia Yanga, huku pia akiufanya ukuta wa mabingwa hao watetezi…

Read More

Rais Samia aomboleza kifo cha Sam Nujoma 

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa Rais wa Namibia na wananchi wote kufuatia kifo cha Rais wa kwanza wa nchi hiyo, Sam Nujoma. Kupitia taarifa yake katika kurasa zake za mitandao ya kijamii, Rais Samia ameandika: “Nimesikitishwa sana na kifo cha Rais, muasisi wa Taifa la Namibia,…

Read More