RAIS DKT. MWINYI AMTEMBELEA MWALIMU ALIYANI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mwanazuoni Maarufu Zanzibar Sheikh.Ali Hemed Jabir ( Mwalimu Aliyani) ambae ni Imamu Mkuu wa Msikiti wa Mchangani, alipofika nyumbani kwake mtaa wa Mchangani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 8-2-2025, kwa ajili ya kumtembelea na kumjulia hali yake na kuzungumza…

Read More

Magata apania rekodi Mtibwa Sugar

KIUNGO mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Fredrick Magata amesema anajisikia fahari kucheza ndani ya kikosi hicho msimu huu, huku akiweka wazi mojawapo ya malengo yake makubwa ni kuweka rekodi ya pili maishani mwake ya kuipandisha timu Ligi Kuu. Nyota huyo anayeitumikia timu hiyo kwa msimu wa pili sasa tangu ajiunge nayo akitokea Mbeya Kwanza, alisema ushirikiano…

Read More

KAMPUNI YA FIT GROUP KUTOKA NIGERIA KUWEKEZA NCHINI

WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umepokea wawekezaji kutoka Kampuni ya FIT Group kutoka nchini Nigeria. Ujio wao ni wa mara ya pili ambapo wawekezaji hao wamekuja kuona maeneo ya uwekezaji yanayomilikiwa na TBA kwa ajili ya kuyaendeleza kwa njia ya ubia. Ziara yao nchini imeambatana na kufanyika kwa kikao kati yao na TBA pamoja na…

Read More

HADITHI: Bomu Mkononi – 28

Baada ya kuolewa na Sele saa tano usiku nilihesabu ndoa ya tatu. Nikajiambia nisingeweza kuishi na waume watatu kwa muda mrefu. Kitu cha msingi ni kutafuta sababu ili niachwe na waume wengine. Licha ya ujinga huo nilioufanya, sikuwa na wasiwasi hata kidogo.

Read More

WAKAZI WA LUKOBE MOROGORO WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA BARABARA YA KILOMBERO – MAZIMBU FAM

FARIDA MANGUBE, MOROGORO  Wakazi wa Kata ya Lukobe, Manispaa ya Morogoro, wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kuboresha barabara ya Kilombero-Mazimbu Fam ili kukabiliana na changamoto za mafuriko yanayotokea wakati wa mvua za masika. Wakazi  hao wamesema kuwa hali ya barabara hiyo inapozidiwa na maji, mawasiliano hukatishwa kwa masaa kadhaa, hali inayosababisha maafa na kurudisha…

Read More

Ramovic afunguka ishu ya bifu lake na Aziz KI, Chama

ALIYEKUWA kocha wa Yanga, Sead Ramovic amevunja ukimya akiwa Algeria kwa kuzungumzia kilichomfanya aachane ghafla na mabingwa hao wa kihistoria nchini. Kocha huyo raia wa Ujerumani ameinoa Yanga kwa miezi miwili na ushei kabla ya kufanya maamuzi hayo magumu, akiwa ameiongoza timu hiyo katika michezo 13 ya mashindano yote, ikiwamo sita za Ligi Kuu Bara…

Read More

ANTI BETTY: Mume wangu hataki nijipodoe siku hizi

Anti nimeolewa, tena na mwanamume niliyempenda kwa dhati na niliyembadili kutoka kuvaa kawaida hadi kuwa mtanashati anayevutia. Pia wakati tunakutana nilikuwa ninajipenda na alikuwa kila mara akiniambia unajipenda mpaka unakera. Cha ajabu tangu anioe amekuwa na tabia nisiyoielewa kabisa, kwanza alitupa vipodozi vyangu nikajua hapendi ning’ae kwa sababu baadhi vilikuwa vikining’arisha kwa mbali. Nilishangaa alipotupa…

Read More