Baba wa Taifa la Namibia, Sam Nujoma afariki dunia

Namibia. Baba wa Taifa la Namibia, Sam Nujoma amefariki dunia jana Jumamosi Februari 8, 2025 akiwa anapatiwa matibabu nchini humo. Taarifa za kifo chake zimetangazwa leo Jumapili, Februari 9, 2025 na Rais wa sasa wa Namibia, Nangolo Mbumba. Sam Nujoma, atakumbukwa kwa kuiongoza Namibia kupata uhuru mwaka 1990 na kuhudumu kama Rais wake wa kwanza…

Read More

KONA YA MAUKI: Chanzo msongo wa mawazo kuwa tatizo la familia nyingi

Katika familia kuna aina za misongo ya mawazo inayosababishwa na wanafamilia wenyewe na mingine inasababishwa na walio nje ya familia. Visababishi vyote hivi huwaathiri wanafamilia kwa namna moja au nyingine. Visababishi vilivyo ndani ya familia hujulikana kama “family stressors”, wakati vile vinavyotoka nje ya familia huitwa “extra family stressors”. Matokeo ya visababishi hivi yaweza kuwa…

Read More

Chanzo msongo wa mawazo kuwa tatizo la familia nyingi

Katika familia kuna aina za misongo ya mawazo inayosababishwa na wanafamilia wenyewe na mingine inasababishwa na walio nje ya familia. Visababishi vyote hivi huwaathiri wanafamilia kwa namna moja au nyingine. Visababishi vilivyo ndani ya familia hujulikana kama “family stressors”, wakati vile vinavyotoka nje ya familia huitwa “extra family stressors”. Matokeo ya visababishi hivi yaweza kuwa…

Read More

Zijue ishara hatari za kimaadili kwa mtoto

Malezi ya mtoto yanahitaji uangalizi wa karibu. Mzazi makini anaweza kutambua mabadiliko madogo yanayoashiria mtoto anaanza kupotoka kimaadili na kuchukua hatua mapema. Hali hii unaweza kuibaini kama utakuwa na mawasiliano mazuri, usimamizi wa karibu na ushirikiano na walezi wengine. Hivyo kama atakuwa anaanza kutumbukia katika nyendo zisizo salama, mzazi unaweza kumsaidia mtoto wako kuepuka njia…

Read More