Mauzo ya mafuta yaongezeka Januari Zanzibar

Unguja. Imeelezwa kuwa, sherehe za miaka 61 ya Mapinduzi, Zanzibar Januari 2025, zimeongeza mauzo ya mafuta visiwani humo kwa kuingiza lita milioni 28 kutokana na uhitaji. Ofisa mwandamizi wa mafuta na gesi kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati (Zura), Ali Abdalla Ali ametoa kauli hiyo leo, Februari 8, 2025, akisema uingizaji…

Read More

Haya ndio madhara ya kununa kwa wanandoa

Dorice John ameeleza namna ndoa yake ilivyovunjika kutokana na ugomvi ambao kama mmoja wao angejishusha, ulikuwa unamalizika kwa mazungumzo. Amesema, yeye ndiye alikosewa, hivyo njia rafiki aliyoamini inafaa kuonyesha hisia zake ni kumnunia mumewe, aliyemtaja kwa jina moja la Michael akiamini kwa kufanya hivyo ataombwa msamaha.  “Tulikaa wiki nzima hatuzungumzi, nikaamua kuondoka kurudi nyumbani kwetu,…

Read More

WASIRA AWAHAKIKISHIA WANANCHI CCM ITABEBA SHIDA ZAO

Na Mwandishi Wetu Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Stephen Wasira, amewahakikishia wananchi mkoani Mara kuwa Chama kitaendelea kuzibeba changamoto zinazowakabili na kuendelea kuzitafutia ufumbuzi. Miongoni mwa changamoto hizo ni ujenzi wa baadhi ya barabara ambazo zinapaswa kujengwa kwa lami ili kuzifungua baadhi ya wilaya za mkoa pia kuiunganisha Mara na nchi jirani ya Kenya…

Read More

Jumamosi ya Kibabe na Meridianbet Hii Hapa

HATIMAYE siku ya kutabasamu na Meridianbet imefika ambapo leo hii mechi za kukupatia mtonyo wa uhakika zinachezwa, hivyo ingia Meridianbet na usuke jamvi lako la ushindi hapa. Tukianza na kule Hispania leo hii LALIGA ni kwa moto sana ambapo mechi ya mapema kabisa ni hii inayowakutanisha kati ya Celta Vigo vs Real Betis ambapo mara…

Read More

BUNGE LAIPONGEZA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mafanikio iliyoyapata katika kukuza utalii huku likiipitisha taarifa ya kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusu shughuli za kamati hiyo kwa kipindi cha Februari,2024 hadi Januari, 2025. Akizungumza katika Mkutano wa 18, Kikao cha 9 cha…

Read More

Viongozi EAC, SADC walivyozungumzia kutatua mgogoro DRC

Dar es Salaam. Viongozi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamezitaka pande zote zinazohusika katika mgogoro unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kukubali kushiriki  majadiliano ili kuleta amani ya kudumu nchini humo. Viongozi hao wamebainisha hayo leo Februari 8, 2025 jijini Dar…

Read More

Kikwete ajenga ukumbi wa mikutano Bukombe

Geita. Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amejenga ukumbi wa mkutano wa kisasa katika Shule ya Sekondari Bulangwa, wilayani Bukombe Mkoa wa Geita, kwa ufadhili wa Kampuni ya MM Steel. Ukumbi huo una uwezo wa kubeba watu kati ya 3,500 na 4,000. Akiweka jiwe la msingi la ukumbi huo leo Februari 8, 2025, Kikwete amesema kujengwa kwa…

Read More

Miili ya watoto nchini Haiti imegeuka kuwa 'viwanja vya vita' – maswala ya ulimwengu

Msemaji wa shirika hilo James Mzee ametembelea tu Port-au-Prince, mji mkuu wa taifa la Karibiani na amekuwa akizungumza juu ya kile alichokiona hapo. Kushangaza unyanyasaji na kutelekezwa “Kumekuwa na kuongezeka kwa asilimia 1,000 ya kuongezeka kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto nchini Haiti, ambayo imegeuza miili yao kuwa viwanja vya vita. Kuongezeka mara 10,…

Read More