Madiwani Ushetu walalama katikakatika ya umeme

Kahama. Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga wamembana Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) katika halmashauri hiyo kutokana na kukatika mara kwa mara kwa umeme pasipo taarifa, na kusababisha hasara kwa wananchi. Wakizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2024/25 Februai 7,…

Read More

Viongozi wa EAC, SADC wazungumzia kutatua mgogoro DRC

Dar es Salaam. Viongozi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamezitaka pande zote zinazohusika katika mgogoro unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kukubali kushiriki  majadiliano ili kuleta amani ya kudumu nchini humo. Viongozi hao wamebainisha hayo leo Februari 8, 2025 jijini Dar…

Read More

Boli limo halafu  komedi freshi!

SOKA lina burudani yake, lakini ndani ya wanaocheza pia wana burudani zao mbalimbali ambapo timu nyingi zikiwa kambini baadhi ya wachezaji hugeuka na kuwa burudani kwa wenzao. Azam FC iliwahi kumwajiri Mbwiga wa Mbwiguke kuwa sehemu ya kikosi ili kuwaburudisha wachezaji wanapokuwa safarini kwenye mechi mbalimbali za ligi na hata kambini wanapocheza nyumbani. Hebu tuwaone…

Read More

Wosia wa Jaji Mkuu Zanzibar kwa mawakili wapya

Unguja. Jaji Mkuu wa Zanzibar, Khamis Ramadhan Abdalla amewataka mawakili wapya waliopatiwa vyeti vya uwakili kuzingatia uadilifu na weledi kama inavyotaka sheria namba moja ya mwaka 2020 ili kuimarisha imani ya wananchi katika mfumo wa haki. Pia, amewataka kutumia busara katika kutoza fedha wateja wao, kwa kuwa, kumekuwa na vilio vingi vinayotokana na wananchi wanyonge…

Read More

Wahitimu 25 Wakamilisha Mafunzo ya Kozi ya Uongozaji ndege Daraja la kwanza (Aerodrome Control Course)na Urubani wa Ndege Nyuki (Drone) katika Chuo cha CATC

Jumla ya washiriki 25 wamehitimu mafunzo maalumu ya anga katika Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania(CATC), hatua inayochangia kuimarisha sekta ya anga nchini Tanzania. Washiriki 19 wamekamilisha Mafunzo ya Urubani wa wa Ndege Nyuki (Drone), huku wengine sita wakihitimu Mafunzo ya Uongozaji Ndege Daraja la kwanza (Aerodrome Control – ADC). Hafla ya kufunga mafunzo hayo…

Read More

MILIONI 177 ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU BUSOKELO

  Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Wilaya ya Busokelo imefanikiwa kutoa mikopo ya asilimia 10 kama takwa la kisheria na maelekezo Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.  Akizungumza kuhusu mikopo hiyo Mkurugenzi wa  Halmashauri  hiyo Dkt.Mwinyi Omary Mwinyi amesema jumla ya Sh.milioni 177 zimetolewa kwa vikundi hivyo  Februari…

Read More

Trump asitisha misaada Afrika Kusini, mauaji ya Gaza yatajwa

Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza kusitishia misaada Afrika Kusini ikiwa ni mwendelezo wa mvutano kati ya utawala wa Washington dhidi ya Pretoria huku sakata la utwaaji wa ardhi inayomilikiwa na wachache ikitajwa kuwa moja ya sababu. Katika amri ya utendaji aliyoisaini jana Ijumaa Februari 7, 2025, Trump alisema inalenga kuiwajibisha Mamlaka ya Afrika Kusini…

Read More