KUPANGA VYUMBA NJE YA SHULE KWA WATOTO WA KIKE SEKONDARI KIBINDU YATIA HOFU KUJIINGIZA KWENYE VISHAWISHI

   Mwamvua Mwinyi, Chalinze Februari 27, 2025 Shule ya Sekondari Kibindu, iliyopo Kata ya Kibindu, Jimbo la Chalinze, Mkoani Pwani, ina jumla ya mabweni manne ya wasichana, lakini idadi ya wanafunzi wanaoishi kwenye mabweni hayo haifikii nusu ya wanafunzi wa kike 300 wanaosoma shuleni hapo. Aidha, shule hiyo inakabiliwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa…

Read More

SERIKALI KUJENGA KIWANDA KIKUBWA CHA SUKARI.

Na Oscar Assenga,Pangani. RAIS DKt Samia Suluhu amesema kwamba Serikali inakusudia kujenga Kiwanda Kikubwa cha Sukari eneo la Bandarini Jijini Tanga ili kujitosheleza na mahitaji hapa nchini. Aliyasema hayo February 26,2025 mjini Pangani wakati wa ziara yake ya Wilayani Pangani baada ya kuweka jiwe la Msingi Kwenye barabara ya Tanga-Pangani pamoja na daraja la Mto…

Read More

RUNALI WAANZA KUJENGA HOTELI YA KISASA YA ZAIDI YA MILIONI 700, CORECU WAPANGA KUIGA

Mwenyekiti wa Chama kikuu cha ushirika cha RUNALI,Odas Mpunga akiwaonyesha viongozi mbalimbali ukubwa wa eneo ambao Hoteli ya kisasa ya chama hicho kikuu cha RUNALI inayojengwa katika wilaya ya Liwale mkoani Lindi.Mwenyekiti wa Chama kikuu cha ushirika cha RUNALI,Odas Mpunga akiwaonyesha viongozi mbalimbali ukubwa wa eneo ambao Hoteli ya kisasa ya chama hicho kikuu cha…

Read More

INEC YATANGAZA KUANZA MCHAKATO WA KUGAWA MAJIMBO

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele akitangaza kuanza kwa mchakato wa kuchunguza na kugawa au kubadili majina ya majimbo ya uchaguzi ambapo Tume itapokea mapendekezo kuanzia Februari 27, 2025 hadi tarehe 26 Machi, 2025. Tume ilitangaza uamuzi huo muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao chake maalum kilichokutanba Mjini…

Read More