Gomez apagawa, ajipanga Wydad AC

NYOTA Mtanzania aliyetambulishwa na Wydad Casablanca ya Morocco, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ amesema amefarijika kutimiza ndoto ya kucheza soka la kulipwa na sasa anajipanga ili kufanya vizuri akiwa na kikosi hicho. Usajili wa mshambuliaji huyo kutoka Singida Black Stars ambaye alikuwa anakipiga kwa mkopo Fountain Gate kwenda Wydad ulifanyika dakika za jioni na kuzua maswali kwa…

Read More

Ngassa aitisha Simba mapema | Mwanaspoti

WAKATI Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Aman Josiah akichekelea kuanza kwa kishindo kibarua, winga machachari wa timu hiyo, Beno Ngassa, amesema mechi dhidi ya Simba itakuwa ngumu lakini wanajua pakupenya kupata ushindi. Josiah aliiongoza Prisons kwa mara ya kwanza akiwa kocha mkuu wa timu ya Ligi Kuu ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya…

Read More

Mchina matatani akidaiwa kujipatia Sh34.7 bilioni kwa upatu

Dar es Salaam. Raia wa China, Weng Jianjin amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka matatu, yakiwamo ya kukusanya na kuendesha biashara ya upatu na kujipatia Sh34.7 bilioni kwa njia ya udanganyifu. Jianjin (42), mfanyabiashara na mkazi wa Msasani alifikishwa mahakamani jana Februari 7, 2025 na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali,…

Read More

Wakili akwaa kisiki kumtoa ofisini Dk Mpango

Dodoma. Wakili Tenzi Nyundulwa aliyekuwa akiomba kibali cha mahakama ili afungue kesi kupinga hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kumruhusu makamu wake, Dk Philip Mpango kuendelea na majukumu yake amekwaa kisiki mahakamani. Nyandulwa alikuwa akiomba kibali afungue maombi ya mapitio ya mahakama akidai kitendo cha Rais kumruhusu Dk Mpango kuendelea kuhudumu baada ya kupokea barua…

Read More

M23 wana ushawishi halisi au bandia Goma?

Dar es Salaam. Wakati juhudi za kutafuta suluhu ya vita kati ya Muungano wa makundi ya wapiganaji (Alliance Fleuve Congo-AFC/M23) dhidi ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zikiendelea, makundi hayo yameonekana kuwa na ushawishi mkubwa Mashariki ya nchi hiyo. Kundi la M23 lililoanzishwa Machi 2009 baada ya kuvunjika kwa mazungumzo kati ya…

Read More