Dk Mwinyi ataka uadilifu biashara mwezi wa Ramadhan

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewahimiza wafanyabiashara kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kufanya biashara kwa uadilifu na pia wawe na huruma kwa wananchi kwa kutopandisha bidhaa za vyakula kiholela. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo Februari 7, 2025 wakati akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu wa Masjid Jibril Mkunazini alipojumuika katika…

Read More

KILOSA WAANZA KUNUFAIKA NA BIASHARA YA HEWA UKAA

FARIDA MANGUBE, KILOSA MOROGORO MKUU wa Wilaya ya KIlosa, Shaka Hamdu Shaka, amewataka wakazi wa wilaya hiyo kujikita katika biashara ya hewa ukaa, kutambua kuwa ni moja miongoni mwa njia mkakati za ukombozi kwao kuanzia ngazi ya vijiji na halmashauri. Ameyasema hayo wakati akifungua na kuiongoza kikao cha kamati ya uvunaji misitu kilichofanyika katika Ukumbi…

Read More

Mstari wa maisha kwa wasichana wa Afghanistan huku kukiwa na vizuizi vya Taliban – maswala ya ulimwengu

Wanawake hutoweka kutoka kwa maisha ya umma chini ya utawala wa Taliban. Mikopo: Kujifunza pamoja. Ijumaa, Februari 07, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Feb 07 (IPS)-Mwandishi ni mwandishi wa kike wa Afghanistan, aliyefundishwa kwa msaada wa Kifini kabla ya Taliban kuchukua. Utambulisho wake umezuiliwa kwa sababu za usalama Taliban walipata nguvu tena nchini Afghanistan…

Read More

Manyara kuanza kusafisha figo kwa wagonjwa

Babati. Wagonjwa wa figo katika Mkoa wa Manyara wataanza kunufaika na huduma ya kusafisha figo baada ya kupatikana mashine sita zenye uwezo wa kusafisha damu za wagonjwa 12 kwa siku, kwenye hospitali ya rufaa ya mkoa huo. Huduma hiyo itawaondolea wagonjwa hao adha ya kusafiri umbali mrefu hadi hospitali ya rufaa ya Kilutheri ya Haydom…

Read More

Wawili kortini wakidaiwa kusafirisha kilo 58 za heroini

Dar es Salaam. Mkazi wa Salasala, Goodnees Remy(32) na raia wa Nigeria, Emmanuel Chigbo (42) maarufu kama Chasi, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka matatu ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini zenye jumla ya kilo 58.62. Washtakiwa hao ambao wote ni wafanyabiashara wamefikishwa mahakamani hapo, leo Ijumaa, Februari 7,…

Read More

12 kutoa ushahidi kesi ya kusafirisha binadamu kimagendo

Dar es Salaam.  Serikali imesema kuwa inatarajia kuwa na mashahidi 12, watakaotoa ushahidi katika kesi ya kusafirisha binadamu kimagendo, inayomkabili raia ya Ufaransa, Michael Mroivili. Mbali na mashahidi hao, pia Serikali itakuwa na vielelezo 18. Mroivili anakabiliwa shtaka moja katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Wakili wa Serikali, Raphael Mpuya, ameieleza Mahakama hivyo, leo Ijumaa…

Read More