Kibano watumishi wa ardhi Dodoma

Dodoma. Bunge limeitaka Serikali ifanye tathmini na uhakiki wa huduma zinazotolewa na kila mtumishi katika ofisi ya ardhi jijini Dodoma, ili kuchukua hatua za kinidhamu kwa watumishi wasio waaminifu. Azimio hilo limefikiwa bungeni leo Februari 7, 2025 baada ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, Timotheo Mnzava kuwasilisha taarifa…

Read More

Aliyeinyima ushindi Simba afunguka ishu mambo mazito

UKIMUONA Diarra Djigui akichezea mpira kwa mbwembwe akiwa langoni usishangae kwani alishawahi kuwa mchezaji wa ndani akitumika kama kiungo, lakini unaambiwa Hashim Omary alivishwa jezi ya kipa wa Fountain Gate na kuibania Simba jana  mjini Manyara hajawahi kudaka kokote kule kabla ya jana. Mshambuliaji huyo wa Fountain Gate alilazimika kukaa langoni baada ya kipa John…

Read More

Aliyeimyima ushindi Simba afunguka ishu mambo mazito

UKIMUONA Diarra Djigui akichezea mpira kwa mbwembwe akiwa langoni usishangae kwani alishawahi kuwa mchezaji wa ndani akitumika kama kiungo, lakini unaambiwa Hashim Omary alivishwa jezi ya kipa wa Fountain Gate na kuibania Simba jana  mjini Manyara hajawahi kudaka kokote kule kabla ya jana. Mshambuliaji huyo wa Fountain Gate alilazimika kukaa langoni baada ya kipa John…

Read More

NAIBU WAZIRI KHAMIS AASA WATANZANIA KUENZI MUUNGANO

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amewaomba Watanzania kuendelea kuuenzi na kuudumisha Muungano kwani umeleta manufaa makubwa. Amesema hayo wakati akichangia taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kwa mwaka 2024 iliyowasilishwa bungeni jijini Dodoma leo Februari 05,…

Read More

HADITHI: Bomu Mkononi – 27

Nilipomaliza, nilitoka nikaenda kufungua friza na kuitazama hiyo nyama iliyoletwa. Nikamuita mtumishi wetu. “Njoo na kisu na sufuria,” nikamwambia. Mtumishi huyo alipofika nilichukua kisu nikakata pande la nyama na kulitia kwenye sufuria. “Kaikatekate uibandike jikoni.” “Niikaange?” “Hapana, ichemshe kwanza.”

Read More