Biashara zijiepushe kuomba ya kutolea

Katika maeneo mengi ya biashara, kumekuwa na tabia ya wateja kuombwa kulipa “ya kutolea” wakati wa kufanya malipo kwa njia ya mtandao wa simu. Huu ni msamiati ambao umekuwa maarufu, na ingawa umekubalika kwa kiasi fulani, hatuwezi kushauri kuwa ni utaratibu bora wa kuigwa. Kwa mtazamo wangu, hili ni kama gharama isiyosemwa ambayo ni mzigo…

Read More

Faida sita za mshahara wa kila mwezi

Zipo sababu kadhaa za kimfumo na kiuchumi zinazofanya mishahara kulipwa kwa utaratibu wa mwezi, wiki, au siku badala ya mwaka mzima. Kwa nchi nyingine mishahara hulipwa kila baada ya wiki mbili. Hapa Tanzania, mara nyingi mshahara hulipwa kwa mwezi. Ulipwaji wa mishahara kwa muda mfupi wa wiki au mwezi ni mfumo bora wa malipo kwa…

Read More

Mizozo imegeuza sehemu za Sudan 'kuwa Hellscape,' Baraza la Usalama linasikia – maswala ya ulimwengu

“Sasa zaidi ya hapo zamani, miaka miwili, watu wa Sudan wanahitaji hatua yako“Edem Wosornu wa Ofisi ya Mambo ya Kibinadamu ya UN, Ocha. Alisema Katika mkutano na mabalozi Jumatano. “Karibu miaka miwili ya mzozo usio na mwisho nchini Sudan umesababisha mateso makubwa na kugeuza sehemu za nchi kuwa ya Hellscape,” ameongeza, akiorodhesha athari zingine. Mapigano…

Read More

KenGold kujiuliza jeshini, Azam, Namungo kazi kazi

BAADA ya kuvuna pointi nane katika mechi tano zilizopita katika Ligi Kuu Bara, wachimba dhahabu wa KenGold leo jioni itashuka tena uwanjani kuikabiliana na wenyeji wao, maafande wa JKT Tanzania, wakati Azam FC iliyotoka kuisimamisha Simba itaialika Namungo mechi zote zikipigwa jijini Dar. KenGold iliyopanda daraja msimu huu sambamba na Pamba Jiji, katika duru la…

Read More

Makipa Bara wapewa msala | Mwanaspoti

KAMA unafikiria mambo ni mazuri kwa makipa, basi elewa kwamba kuna mambo yanayoendelea viwanjani ambayo yamewagusa katika timu, huku mechi za Ligi Kuu Bara zikibakia takriban tisa ili kumalizika kwa mashindano hayo. Kutokana na namna ligi hiyo ilivyo kwa sasa, kila mchezaji amekuwa akijifua kuonyesha kuwa tayari kwa ajili ya kulibeba jahazi la kutoruhusu mabao…

Read More

Aliyemuuza Mayele, amng’oa Mzize | Mwanaspoti

PALE Yanga kuna mastaa kibao wanaowaka kwa sasa wakipambana kulisaka taji la nne mfululizo la Ligi Kuu Bara msimu huu, huku wakiweka majina yao katika mizani ya kusakwa na timu za nje ya nchi kwa mkwanja wa maana. Lakini, wakati unasoma hapa, nyota wa kikosi hicho aliyepandishwa kutoka timu ya vijana wakati wa kocha Nasrredine…

Read More

Vijana wanavyotegemewa kufikia Sh2.6 trilioni mauzo ya kahawa

Uwekezaji wa kifedha, njia zinazovutia vijana, ikiwemo kufadhili mawazo bunifu waliyonayo, utafiti ni miongoni mwa vitu vinavyotajwa kuwa vinavyoweza kuifanya Tanzania kufikia mauzo ya kahawa yenye thamani ya Dola za Marekani 1 bilioni ifikapo mwaka 2030. Lengo hili la kukuza mauzo linaenda sambamba na kuongeza uzalishaji kufikia tani 300,000 katika kipindi hicho, huku uvutiaji wa…

Read More

Che Malone amshtua Fadlu | Mwanaspoti

SIMBA inajiandaa kulihama jiji la Dar es Salaam ili kwenda Arusha kuvaana na Coastal Union kabla ya kurejea kujiwinda dhidi ya Yanga katika Dabi ya Kariakoo itakayopigwa Machi 8, kuna mambo flani ni kama hayaeleweki kikubwa kikiwa ni afya za mastaa wa kikosi hicho. Bahati nzuri ni kwamba, mastaa karibu wote wako fiti na wanaendelea…

Read More

Simba ikae chonjo, Tshabalala awatikisa Waarabu

MECHI 10 zilizobaki za Simba mzimu huu zinaendelea kuwaumiza viongozi wa klabu hiyo wakipiga hesabu za namna ya kuzicheza ili wabebe ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, huku kukiwa na mambo kibao yanayowasubiri mezani kwao. Bahati nzuri ni kwamba, katika nafasi walizopo juu kwa sasa Simba, wana nafasi kubwa ya kumaliza ndani ya top…

Read More