TAASISI ZA WIZARA YA UJENZI UNGUJA NA PEMBA ZAJENGEWA UWEZO WA KUANDAA BAJETI ZENYE USAWA WA KIJINSIA

 Taasisi zilizochini ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Unguja na Pemba zajengewa uwezo juu ya Namna ya Utayarishaji wa Bajeti zenye Vipaumbele vya Kijinsia katika Ukumbi wa ZMA Malindi. Akifungua Mafunzo hayo Afisa Mipango kutoka Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kwa niaba ya Mkurugenzi Mipango, Sera na Utafiti wa Wizara hiyo Zahra Nassor…

Read More

TAKUKURU TANGA YAOKOA FEDHA ZA SERIKALI MILIONI 76,048,459.1

Na Oscar Assenga,TANGA.  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imefanikiwa kuokoa kiasi cha Milioni 76,048,459.1 baada ya kuwafikisha mahakamani waliokuwa watumishi wa umma kwa tuhuma za ubadhirifu na ufujaji wa Fedha za Umma katika wilaya za Kilindi, Korogwe na Tanga Jiji. Tuhuma ambazo zilikuwa zinawakabili ni kutokuwasilisha fedha ambazo ni mapato ya Serikali…

Read More

Ahmed Ally ampa Chasambi ujumbe mzito

Meneja habari na mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amemtaka winga Ladack Chasambi asivurugwe na bao alilojifunga kwenye mchezo dhidi ya Fountain Gate, leo Februari 6, 2025. Winga huyo alijifunga bao hilo baada ya mpira mrefu aliourudisha kushindwa kuokolewa na kipa Moussa Camara na kufanya matokeo ya mchezo huo kuwa bao 1-1. Ahmed Ally amesema kuwa…

Read More