Simba yabanwa, Yanga yakaa kileleni

Sare ya bao 1-1 imeifanya Simba kushindwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kufikisha pointi 44, moja nyuma ya vinara Yanga yenye 45. Simba imepata sare hiyo dhidi ya Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Manyara. Kipindi cha kwanza cha mchezo huo kilikuwa…

Read More

Sababu TRA kutangaza ajira 1,596

Dar es Salaam. Wakati Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ikitangaza ajira 1,596, wadau wa uchumi na wafanyabiashara wamesema zitasaidia kurahisisha huduma na kuongeza makusanyo ya kodi. Tangazo la nafasi hizo za ajira limetolewa leo Alhamisi Februari 6, 2025 na kusainiwa na Kamishna mkuu wa mamlaka hiyo, Yusuf Mwenda. “TRA inapenda kuajiri watumishi wenye sifa, uwezo…

Read More

Wanawake waoneshwa njia kushika nyadhifa za juu viwandani

Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa, kujiamini, kujitambua na ushirikiano kwa wanawake ni mongoni mwa mambo yatakayochochea kundi hilo kufikia maendeleo mbalimbali ikiwamo ya uongozi mahiri sehemu za kazi hasa katika sekta ya uzalishaji viwandani. Kuhamasisha wanawake kiuongozi, pia ni sehemu ya juhudi za kimataifa  kama vile Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (SDGs),…

Read More