ACT Wazalendo yaunda kamati kuandaa Ilani ya Uchaguzi 2025

Dar es Salaam. Kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu amefanya uteuzi wa kamati ya kuandika Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 ya chama hicho itakayokwenda kuuzwa kwa wananchi. ACT Wazalendo kimekuwa chama cha kwanza nchini kuanzisha michakato ya uchaguzi mapema na tayari kimefungua dirisha kwa wanachama wake wenye nia…

Read More

Ujio wa Trump na athari zake duniani

Donald Trump ni mfanyabiashara na mwanasiasa wa Chama cha Republican aliyechaguliwa kuwa Rais wa 47 wa Marekani akimshinda Kamala Harris wa Democrat. Trump aliapishwa kuingia Ikulu ya Washington DC, Januari 20, 2025. Lakini, tangu siku hiyo vuguvugu lake la mageuzi limetikisa mataifa mbalimbali dunia. Trump alijizolea umaarufu uliompa ushindi kupitia kauli mbiu ya ‘Make America…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Upacha wa CCM na wasanii wa Bongo Movie, Bongo Flava

Januari 16, 2025 watu maarufu, hasa wasanii wa makundi yote wakiwamo waigizaji wa filamu na tamthiliya (Bongo Movie), wanamuziki, wachekeshaji, na wenye ushawishi mitandaoni (influencers), walionekana kwenye treni ya SGR. Walikuwa wakitokea Dar es Salaam, kwenda Dodoma, kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), uliofanyika Januari 18 na 19, 2025 kwenye ukumbi wa mikutano…

Read More

Suala la Marekani kusitisha msaada latinga bungeni

Dodoma. Baada ya Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kutangaza kusitisha utoaji fedha, Serikali imesema inajiimarisha kuhakikisha inakuza uchumi kwa kutumia vyanzo vya fedha na mapato kujazia maeneo yaliyopungua. USAID imetangaza kusitisha utoaji fedha mpya na usambazaji wa fedha chini ya makubaliano ya malengo ya Maendeleo (DOAGs) hadi uhakiki kwa programu za msaada…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Dogo Sabri Kondo akili nyingi

TETESI ambazo tunazo hapa mtaani ni mchezaji bora wa mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 20 (Afcon U20) kupitia Kanda ya Cecafa, Sabri Kondo anamilikiwa na Singida Black Stars. Hivyo pale Coastal Union ambako ametambulishwa yuko kwa mkopo tu ambao utamalizika mwishoni mwa msimu huu…

Read More

Kiut Bingwa Provincal CUP | Mwanaspoti

KIUT imedhihirisha ubora wake baada ya kuifunga DB Oratory  kwa pointi 72-54 katika fainali ya kombe la Provincial kwenye Uwanja wa Donbosco, Oysterbay. Mashindano hayo ya kombe la Provincial yaliandaliwa na kituo cha Donbosco, Oyster bay, yakishirikisha DB VTC, Don Rua, IFM, Kigamboni Academy, DB Oratory, MUHAS  na KIUT. Katika mchezo huo, KIUT ilidhibiti eneo…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Tujadili upacha wa CCM na wasanii wa Bongo Movie, Bongo Flava

Januari 16, 2025 watu maarufu, hasa wasanii wa makundi yote wakiwamo waigizaji wa filamu na tamthiliya (Bongo Movie), wanamuziki, wachekeshaji, na wenye ushawishi mitandaoni (influencers), walionekana kwenye treni ya SGR. Walikuwa wakitokea Dar es Salaam, kwenda Dodoma, kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), uliofanyika Januari 18 na 19, 2025 kwenye ukumbi wa mikutano…

Read More

Dk Slaa afikisha siku 28 rumande, kesi yake yapigwa kalenda

Dar es Salaam. Serikali imesema upelelezi katika kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika Mtandao wa X, inayomkabili wanasiasa mkongwe nchini, Willibrod Slaa (76), bado haujakamilika. Wakili wa Serikali Agness Mtunguja ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Alhamisi Februari 6, 2025 wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya kutajwa. Mtunguja ametoa maelezo hayo mbele…

Read More

Robo fainali daraja la kwanza, ukizubaa tu unaachwa

UKIZUBAA unaachwa. Ndiyo kinachoenda kutokea kwenye michezo ya robo fainali ya Ligi Daraja la Kwanza Dar es Salaam inayoanza kesho kwenye Uwanja wa Don Bosco, Oysterbay. Kisasi ni cha Chang’ombe Boys kwa Mlimani B.C baada ya kufungwa katika mchezo wa hatua ya makundi kwa pointi 68-57 na zinakutana tena robo fainali. Kocha wa Mlimani, Abbas…

Read More