Tujadili upacha wa CCM na wasanii wa Bongo Movie, Bongo Flava

Januari 16, 2025 watu maarufu, hasa wasanii wa makundi yote – waigizaji wa filamu na tamthiliya (Bongo Movie), wanamuziki, wachekeshaji, vilevile wenye ushawishi mitanadaoni (influencers), walionekana kwenye treni ya SGR. Walikuwa wakitokea Dar es Salaam, kwenda Dodoma, kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), uliofanyika Januari 18 na 19, 2025 kwenye ukumbi wa mikutano…

Read More

Ripoti ya CAG yaondoka na watumishi wa halmashauri 20

Dodoma. Jumla ya watumishi 294, wakiwamo wakurugenzi na waweka hazina wa halmashauri, wamechukuliwa hatua. Miongoni mwa hatua hizo ni pamoja na watumishi 20 kufukuzwa kazi na watano kufungwa jela kufuatia taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya ukaguzi wa mwaka wa fedha 2022/23. Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya…

Read More

Madeleka aliamsha sakata la wachezaji Singida Black Stars

Hatimaye sakata la wachezaji watatu nyota wa timu ya Singida Black Stars (SBS) kupewa uraia wa Tanzania, limetinga kortini. Wakili Peter Madeleka amefungua kesi ya kikatiba akidai utoaji huo wa uraia ulikiuka Katiba ya Tanzania. Kesi hiyo ya kikatiba imesajiliwa Mahakama Kuu Masjala ya Dodoma na kupewa namba 2729/2025 na Jaji Evaristo Longopa ndiye ataisikiliza…

Read More

Waziri wa Trump kutohudhuria mkutano wa G20 Afrika Kusini

Reuters. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio amesema hatashiriki mkutano ujao wa G20 utakaofanyika nchini Afrika Kusini. Hatua hiyo inakuja siku chache baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kutishia kukata misaada kwa nchi ya Afrika Kusini. Afrika Kusini inayoshika urais wa G20 kuanzia Desemba 2024 hadi Novemba 2025, itakuwa mwenyeji wa…

Read More

Maandalizi teknolojia mpya matibabu ya selimundu yaanza

Dodoma. Serikali imesema imeanza maandalizi ya wataalamu na teknolojia mpya ya matibabu ya ugonjwa wa selimundu kwa kutumia teknolojia ya CRISPR Cas 9 (Gene Editing). Hayo yamesemwa leo Alhamisi Februari 6, 2025, na Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel alipokuwa akijibu swali la msingi la Mbunge wa Kawe (CCM), Josephat Gwajima, kuhusu lini serikali…

Read More

Namna ajali za bodaboda, ulaji wa ‘kitimoto’ zinavyosababisha kifafa

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku tatu kuazimisha siku ya Kimataifa ya Kifafa duniani itakayoadhimishwa Februari 10, 2025, imeelezwa ugonjwa huo husababishwa na hitilafu ya kusambaa kwa umeme kupitia mishipa iliyopo kwenye ubongo. Akizungumza na waandishi wa habari wiki hii kuelekea siku hiyo itakayofanyika Jumatatu ijayo, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Fahamu, Ubongo na Mishipa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Naogopa kumwekea dhamana Mutale

BAADA ya dirisha dogo la usajili, Joshua Mutale anaonekana kucheza vizuri sana tofauti na ilivyokuwa hapo mwanzoni hadi akajikuta anawaudhi mashabiki wa Simba. Wakati anasajiliwa, mashabiki wa Simba hapa kijiweni walitutambia kweli wakisema wamenasa bonge la winga ambaye atawafanya mabeki wa timu pinzani walale na viatu kutokana na chenga na kasi yake Basi tukasubiria mechi…

Read More

Fahamu namna ajali za bodaboda na ulaji wa ‘kitimoto’ zinavyosababisha ugonjwa wa kifafa

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku tatu kuazimisha siku ya Kimataifa ya Kifafa duniani itakayoadhimishwa Februari 10, 2025, imeelezwa ugonjwa huo husababishwa na hitilafu ya kusambaa kwa umeme kupitia mishipa iliyopo kwenye ubongo. Akizungumza na waandishi wa habari wiki hii kuelekea siku hiyo itakayofanyika Jumatatu ijayo, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Fahamu, Ubongo na Mishipa…

Read More