Afrika Kusini Yataka Marekani Iwekwe Vikwazo – Global Publishers
Waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe Waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe ametoa wito kwa nchi za Afrika kusimamisha mauzo ya madini kwenda Marekani.Mwito huo umetolewa baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza mipango ya kuikatia misaada Afrika…