Sababu marufuku ya matumizi ya mkaa Dar kukwaa kisiki

Dar es Salaam. Licha ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuwapiga marufuku wafanyabiashara wa chakula wakiwamo mama na babalishe kutumia kuni na mkaa kupikia, bei kubwa ya gesi na udogo wa majiko vinatajwa kuwa changamoto kwao kutumia nishati hiyo mbadala. Tangazo la jiji pia linawahusu wafanyabiashara wa migahawa na hoteli. Kwa kawaida mama…

Read More

Siri CCM kuendelea kudunda madarakani

Morogoro. Mwanasiasa mkongwe aliyewahi kushika nyadhifa kadhaa za uongozi ndani ya CCM na serikalini, Stephen Mashishanga amesema ili chama hicho kiendelee kushika dola lazima wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wawe wenye kukubalika na wananchi. Amesema licha ya chama hicho kuendelea kuongoza nchi na kutimiza miaka 48 tangu kuzaliwa kwake, bado kinapaswa kuboresha eneo la…

Read More

Mtanzania abuni teknolojia ya kupika kwa bei chee

Dar es Salaam. Kama ulidhani kuwa kupika kwa umeme ni ghali, huenda ulikosea. Teknolojia mpya iliyozinduliwa na kampuni inayomilikiwa na Watanzania itawawezesha kutumia Sh500 kulipia umeme utakaotosha kupikia kwa siku nzima. Teknolojia hiyo inahusisha matumizi ya sufuria za umeme zinazopika kwa haraka (pressure eCookers), ambazo zina uwezo wa kipekee kuhakikisha kuwa chakula kinakuwa tayari kwa…

Read More

Kibano wanaotumia simu wakiendesha vyombo vya moto

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limependekeza mabadiliko ya sheria kupiga marufuku matumizi ya simu kwa madereva wanapoendesha vyombo vya moto. Marufuku ya matumizi ya simu na vifaa vingine vya kielektroniki kwa madereva wa magari, pikipiki na bajaji inalenga kudhibiti ajali za barabarani. Akizungumza na Mwananchi Januari 30, 2025, jijini Dar…

Read More

Simba hii, ikipata penalti mmekwisha!

ACHANA na matokeo ya mechi za jana ikiwa fungua dimba raundi ya 17 kwa Ligi Kuu Bara, kama hujui ni kwamba Simba ndio timu pekee iliyopata penalti nyingi kuliko yoyote ikiwa nazo saba huku zote ikiweka kambani. Yaani kwa kifupi kila timu inayocheza na Simba ni lazima iwe na tahadhari ya kufanya madhambi langoni mwake,…

Read More

Kazi anayo: Vigingi kocha mpya ndani ya Yanga

UKISIKIA kata mti panda mti, ndicho kilichofanywa na Yanga baada ya mabosi wa klabu hiyo kushtushwa na uamuzi wa ghafla wa kocha Sead Ramovic aliyeomba kuvunja mkataba kisha juzi Jumanne akawaaga wachezaji na maofisa wengine wa timu. Hata hivyo, chapu mabosi hao wa Yanga wakambeba kocha mpya Hamdi Miloud kutoka Singida Black Stars ambaye jana…

Read More

Serikali ya Haiti inakabiliwa na kukosoa kwa majibu yake kwa shambulio la genge huko Kenscoff – maswala ya ulimwengu

Jean-Victor Harvel Jean-Baptiste, Waziri wa Mambo ya nje na Ibada ya Haiti, anahutubia Baraza la Usalama juu ya hali ya sasa nchini Haiti. Mikopo: Picha ya UN/ Evan Schneider na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Februari 05, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Februari 05 (IPS)-Hali ya kibinadamu huko Haiti inaendelea…

Read More

Sio pesa tu, haya pia yalichangia Ramovic kusepa

LICHA ya kupeleka ombi la kuvunja mkataba ili aondoke klabuni kwa kilichoelezwa amepata ofa nono kutoka CR Belouizdad ya Algeria, lakini kuna mambo kadhaa nyuma ya pazia katika dili la kocha Sead Ramovic kusepa Yanga ikiwa ni siku 82 tangu alipojiunga nayo Novemba 15, mwaka jana. Ramovic aliyejiunga na Yanga kutoka TS Galaxy ya Afrika…

Read More