
ZAIDI YA WATU MILIONI 17 HUPOTEZA MAISHA KWA MAGONJWA YA KUAMBUKIZA- DKT KISENGE
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt Peter Kisenge ameishauri Jamii ya Tanzania kuhakikisha inakula vyakula bora hasa vile vyenye protini, wanga na matunda kwa kiasi kikubwa pia ikiwemo matumizi ya mafuta ya nafaka kama vile alizeti na mahindi sambamba na kuacha uvutaji wa sigara na…