Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Kanda ya Mtwara, ni moja ya wadau walioshiriki kwenye siku ya Sheria nchini ambayo kimkoa imeadhimishwa katika viwanja vya
Month: February 2025

Kahama. Miili miwili ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika mgodi wa Nkandi, eneo la Mwime, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, kati ya watatu

Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi, na Rais wa Rwanda, Paul Kagame, wanatarajiwa kukutana Jumamosi, Februari 8, 2025,

Mwanza. Mradi wa ujenzi wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) Kampasi ya Sengerema utakaoanza Februari 15, 2025, katika Kijiji cha Kalumo, Kata ya Nyamatongo, wilayani Sengerema,

Mjumbe wa Tuhe Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Asina Omari akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya siku mbili ya watendaji wa Uboreshaji Mkoa

Dar es Salaam. Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma amesema migogoro ya ardhi ndio inayozaa makosa mengi ya kijinai nchini, sambamba na kuwa chimbuko la changamoto

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema kuwa Serikali inaendelea kuliimarisha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kulipatia vitendea kazi ambapo sasa

MECHI saba tu zimetosha kwa kiungo wa Simba Ellie Mpanzu kuweka wazi kuhusu kile kilichompeleka katika kikosi hicho, huku akiweka wazi kuwa hana presha kabisa

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KUPITISHWA kuwa Sheria kuhusu nyongeza ya siku za likizo kwa Wafanyakazi wanawake wanaojifungua watoto njiti inaenda kusaidia kulinda ustawi wa

Chanzo: Ofisi ya sensa ya Amerika. Maoni na Joseph Chamie (Portland, Amerika) Jumatatu, Februari 03, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Portland, Amerika, Februari 03