Mpanzu: Msijali atuma ujumbe kwa mashabiki Simba

MECHI saba tu zimetosha kwa kiungo wa Simba Ellie Mpanzu kuweka wazi kuhusu kile kilichompeleka katika kikosi hicho, huku akiweka wazi kuwa hana presha kabisa ya kufunga. Mpanzu ambaye alianza kucheza baada ya dirisha dogo, amecheza mechi nne za ligi na kutoa asisti mbili(dakika 220) tatu za kimataifa sawa na dakika 258. Tangu atue kwenye…

Read More

Bulls Eye Bells Mchezo wa Kasino Wenye Jackpot Ndani Yake

TUNAKULETEA safari ya kasino mtandaoni ya kusisimua sana ambayo imejaa bonasi za kasini za kumwaga. Jukumu lako ni kukusanya ushindi kadri iwezekanavyo, na ukifanikiwa, hautakosa mafanikio ya ajabu. Jisajili hapa ili usipitwe na mchezo huu. Bulls Eye Bells ni mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoletwa kwenu na mtengenezaji wa michezo wa Playtech. Katika mchezo huu,…

Read More

Magugu maji bado kikwazo usafiri wa vivuko Kigongo-Busisi

Mwanza. Wingi wa magugu maji ndani ya Ziwa Victoria umeendelea kukwamisha shughuli za usafirishaji wa abiria na magari katika eneo la kivuko cha Kigongo-Busisi, kutokana na injini za vivuko kupata hitilafu. Kutokana na tatizo hilo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, kwa mara nyingine jana, Februari 2, 2025, alilazimika kuwaruhusu watembea kwa miguu na…

Read More

EXIM BANK YATANGAZA RIPOTI YA FEDHA YA MWAKA 2024

 Ripoti ya Kifedha ya Exim Bank 2024 Yaonesha Mafanikio Makubwa na Ubunifu wa Kifedha Dar es Salaam, Tanzania: Benki ya Exim Tanzania imetoa ripoti yake yenye matokeo mazuri ya kifedha kwa mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba 2024, ikionesha ukuaji mkubwa katika viashiria muhimu vya kifedha na kama taasisi.  Jumla ya mali za benki hiyo zimeongezeka…

Read More

Suka Jamvi Lako la Ushindi Hapa

Jumatatu ya kwanza ya mwezi Februari imefika ambapo leo hii unaweza ukasuka jamvi lako na kubashiri mechi zote zinazoendelea huku nafasi ya kupiga mzigo ikiwa ni kubwa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa. Ligi kuu ya Uingereza EPL baada ya wikendi kuendelea na kushuhudia vipigo vingi sana, hatimaye leo hii kuna mechi kali kabisa…

Read More

CCM yajivunia 4R, kuwatambulisha Samia na Dk Nchimbi

Dodoma. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinaamini kuwa falsafa ya 4R itasaidia vyama vya siasa kuendelea kufanya siasa, huku vikitofautiana kiitikadi lakini nchi ikibaki kuwa salama. Tangu ameingia madarakani Machi 19, 2021, Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan, amekuwa akitekeleza falsafa ya 4R, ikimaanisha maridhiano (Reconciliation), mabadiliko (Reforms), ustamilivu (Resilience), na kujenga upya…

Read More

VODACOM YAWAZAWADIA MAWAKALA BORA DODOMA

Mkurugenzi wa M-Pesa Tanzania Epimack Mbeteni (kushoto) akimkabidhi zawadi na cheti Thabit Juma Idd (wa pili kutoka kushoto), kuwa wakala aliyefanya vizuri zaidi katika robo ya tatu ya mwaka wa fedha wa kampuni ya Vodacom kwa kanda ya kati. Viongozi wa kampuni hiyo kutoka makao makuu jijini Dar es Salaam walitembelea sehemu mbalimbali katika kanda…

Read More

Vyama vya siasa vyaonywa kampeni za mapema

Dar es Salaam. Vyama vya siasa nchini vimetahadharishwa kuepuka kuvunja sheria za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kwa kunadi wagombea kabla ya muda wa kampeni. Hivi karibuni, baadhi ya vyama vya siasa vimeonekana kunadi wagombea wake kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 2025, jambo ambalo Baraza la…

Read More

Mpanzu: Msijali, mabao yatakuja | Mwanaspoti

MECHI saba tu zimetosha kwa kiungo wa Simba Ellie Mpanzu kuweka wazi kuhusu kile kilichompeleka katika kikosi hicho, huku akiweka wazi kuwa hana presha kabisa ya kufunga. Mpanzu ambaye alianza kucheza baada ya dirisha dogo, amecheza mechi nne za ligi na kutoa asisti mbili(dakika 220) tatu za kimataifa sawa na dakika 258. Tangu atue kwenye…

Read More