Umuhimu wa taasisi za benki kurudisha kwa jamii

Dar es Salaam.  Wakati kukiwa na makundi mbalimbali ya watu wanaohitaji msaada, Benki ya Maendeleo imetaja umuhimu wa hatua ya kurudisha kwa jamii kwa ajili ya ustawi wa jamii. Benki hiyo, ambayo mwaka 2024 ilifanikiwa kutumia zaidi ya Sh180 milioni katika mbio za hisani, imetumia Sh140 milioni kununua vifaa katika wodi ya watoto njiti ya…

Read More

Utapeli mitandaoni, deni la Serikali kwa ATCL kulivyowasha moto bungeni

Dodoma. Bunge la Tanzania limeiagiza Serikali kutumia vyombo vingine ikiwemo Jeshi la Polisi, kudhibiti utapeli na uharifu wa kimtandao, jambo  ambalo limetajwa bado ni janga kubwa linalohitaji hatua madhubuti ili kulidhibiti. Mbali na hilo, kamati hiyo imetaja mzigo mkubwa wa madeni kwenye mashirika ikiwemo Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) inayoidai Serikali Sh64 bilioni, Shirika la…

Read More

Moto barabarani unavyohatarisha miundombinu Dar

Dar es Salaam. Wakati wimbi la wachuuzi wanaowasha moto na kupika kwenye hifadhi za barabara likiongezeka, imebainika hali hiyo si hatari tu kwa barabara bali inaweza kuleta madhara kwa miundombinu mingine inayowekwa kwenye hifadhi hiyo kama inavyoelezwa kwenye sheria.  Kwa mujibu wa Sheria ya Barabara ya Mwaka 2007 Sheria Namba 13, Kifungu Namba 29, hifadhi…

Read More

Watuhumiwa kumuua ndugu yao kwa kumkata kichwa

Rukwa. Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linawashikilia watu wanne wa familia moja, kwa tuhuma za kumuua kwa kumchinja shingoni na panga ndugu yao,  anayejulika kwa jina la Mashaka Michael Sichone (30) mkazi wa Wilaya ya Kalambo na kisha kuondoka na kichwa chake. Marehemu huyo alikuwa ni Katibu wa CCM tawi la Migomba Kijiji Kalipula, Kata…

Read More

HADITHI: Bomu Mkononi – 26

“Halafu wewe utarudi saa ngapi?” “Atakapokuja nenda jikoni unipigie simu. Umenielewa?’ Nikatoka. Nilipanda teksi nikaenda Ilala kwa Sele. Wakati nafika na yeye alikuwa anafika. Mimi nilishushwa na teksi, yeye alishushwa na bodaboda. “Unatoka wapi?” Nikakimbilia kumuuliza. “Ndio natoka benki. Nilikupigia simu nikiwa benki.” “Ahaa, tumefika pamoja.” “Umeniambia shangazi amezidiwa?” Akaniuliza. “Kwa kweli hali yake inatatanisha…

Read More

Marekani yairuhusu PEPFAR kuendeleza huduma hizi…

Dar es Salaam. Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na Ukimwi (PEPFAR) umejumuishwa katika msamaha wa misaada ya kibinadamu ya kuokoa maisha wakati wa kusitishwa kwa msaada wa kigeni kwa siku 90. Miongoni mwa shughuli zilizoruhusiwa ni pamoja na utunzaji wa watu wenye VVU…

Read More

Siku moja yampa jeuri Minziro

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Fred Felix ‘Minziro’ amesema kusogezwa mbele siku moja kwa mchezo wao dhidi ya Dodoma Jiji kumempa nafasi ya kuendelea kuijenga timu kisaikolojia baada ya kukamilisha maandalizi ya kimbinu. Pamba Jiji itakuwa ugenini Alhamisi hii kuikabili Dodoma Jiji mchezo ambao awali ulipangwa upigwe kesho Jumatano na timu hiyo ipo nafasi ya…

Read More