Rais Samia na mkakati wa kuifanya Tanga kuwa ufunguo wa uchumi

Pangani. Rais Samia Suluhu Hassan amesema dhamira ya Serikali ni kuunganisha Mkoa wa Tanga na shoroba kadhaa ili kufungua biashara, utalii na hatimaye uchumi wa mkoa huo na taifa kwa ujumla. Mkakati wa kuifungua Tanga, kwa mujibu wa mkuu huyo wa nchi, unaanzia wilayani Pangani, ambako unatekelezwa mradi wa ujenzi wa Barabara ya Bagamoyo (Makurunge)-Mkange-Pangani-Tanga…

Read More

Zanzibar ina mtaalamu mmoja wa upasuaji moyo

Unguja.  Zanzibar inakabiliwa na changamoto ya uhaba wa wataalamu wa magonjwa ya moyo, ambapo kwa sasa kuna wataalamu wa moyo wanne pekee, huku mmoja tu akiwa na uwezo wa kufanya upasuaji wa moyo. Hali hii imebainika wakati wa uzinduzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Moyo Tanzania (CardioTan 2025) pamoja na mafunzo ya awali ya uokoaji…

Read More

Wananchi 10,270 wapatiwa boti za uvuvi, mwani

Unguja. Wananchi 10,270 wamepatiwa boti za kuendeshea kilimo cha mwani kati ya hao 5,389 vijana, 3,159 wanawake na 1,722 wanaume, boti hizo zimetolewa kupitia programu ya Uviko-19. Pia, kupitia programu hiyo, Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi ilitoa mafunzo kwa wakulima wa mwani 7,300 kuhusiana na namna bora ya kufanya shughuli zao ambao zaidi…

Read More

Ujumbe wa Kwaresima wa Papa Francis kwa 2025

Dar es Salaam. Siku sita kabla ya kuanza kwa kipindi cha Kwaresima mwaka 2025, Papa Francis ametoa ujumbe kwa waumini wa Kanisa Katoliki ukiongozwa na kaulimbiu “Tembeeni pamoja kwa matumaini”, akisisitiza kuwa hakuna anayepaswa kuachwa nyuma.  Kaulimbiu hiyo inawahimiza waumini kusafiri pamoja kama mahujaji wa matumaini kuelekea nchi ya ahadi, wakihakikisha hakuna anayeachwa au kutengwa,…

Read More

Ushirikiano mpya wa mashirika, viwanda vya kijeshi Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Ushirikiano wa Mashirika na Viwanda vya kijeshi vya Afrika Mashariki katika kubadilishana teknolojia za uzalishaji vifaa na bidhaa mbalimbali ni miongoni mwa yaliyojadiliwa katika mkutano uliowaketisha watendaji wakuu wa Mashirika na Viwanda vya Kijeshi vya Jumuiya hiyo. Huku ajenda ya matumizi ya teknolojia katika kuzalisha bidhaa za kilimo, magari ya kijeshi, mabomu,…

Read More

Dk Biteko: Wananchi chagueni maendeleo badala ya maneno

Shinyanga. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema angependa kuona wananchi wa Kahama wanashirikiana na kuungana kwa pamoja katika shughuli za maendeleo ya wilaya yao. Aidha, amewaasa kutoacha msingi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa kuwaletea wananchi maendeleo. Amesema Taifa linakitegemea chama hicho kiwahudumie na sio kuruhusu mipasuko miongoni mwao.  Dk…

Read More