Kasino Yenye Jackpot Kubwa Ndani Yake – Global Publishers

Tunakuletea safari ya kasino mtandaoni ya kusisimua sana ambayo imejaa bonasi za kasini za kumwaga. Jukumu lako ni kukusanya ushindi kadri iwezekanavyo, na ukifanikiwa, hautakosa mafanikio ya ajabu. Jisajili hapa ili usipitwe na mchezo huu. Bulls Eye Bells ni mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoletwa kwenu na mtengenezaji wa michezo wa Playtech. Katika mchezo huu,…

Read More

Simon Msuva atia neno usajili wa Gomes

WINGA wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Al Talaba ya Iraq, Saimon Msuva amezungumzia usajili wa mshambuliaji wa Singida Black Stars aliyekuwa akicheza kwa mkopo Fountain Gate, Seleman Mwalimu ‘Gomes’ kwenda Wydad Casablanca ya Morocco chini ya Rulani Mokwena amesema mara atakapopenya kikosini basi atacheza sana. Msuva ambaye ameshawahi kupita Wydad amefunguka hayo siku chache baada…

Read More

Sababu uzinduzi kituo cha gesi UDSM kupigwa kalenda

Dar es Salaam. Uzinduzi wa kituo cha kujaza gesi kwenye vyombo vya moto eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kilichopangwa kuzinduliwa leo, Jumatatu, Februari 3, 2025 umeahirishwa kwa mara nyingine. Meneja Msimamizi wa mradi wa CNG Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Aristides Katto akizungumza na Mwananchi leo amesema kuahirishwa huko…

Read More

ZRA yavunja rekodi makusanyo ya mapato Januari

Unguja.  Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imekusanya Sh81.512 bilioni kwa Januari sawa na ufanisi wa asilimia 100.65, huku sababu za kufanya vizuri ikitajwa ni kuongezeka kwa matumizi ya mafuta kwenye vyombo vya moto vya barabarani. Baadhi ya sherehe zilizofanyika ni kuadhimishwa kwa miaka 61 ya Mapinduzi, viongozi wakuu wa Zanzibar na Tanzania bara kushiriki kufungua…

Read More