HADITHI: Bomu Mkononi – 21

“HAYO ni maneno ya kunishutumu mke wangu lakini kama unanifikiria hivyo sawa.” “Na mimi nakwambia sawa.” Ukawa mwisho wa maneno yetu. Hata hivyo, usiku ule nilijidai kukasirika, kila mmoja akalala ubavu wake. Asubuhi kulipokucha mimi ndiye niliyeanza kumsemesha, nikajifanya yale ya jana sikuwa nayo tena. Lakini moyoni mwangu nilikuwa nayo kwamba mume wangu pia hakuwa…

Read More

Dk Mwinyi apongeza ushirikiano taasisi za dini serikalini

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema taasisi na madhehebu ya dini nchini yanawajibika kuisaidia Serikali kudumisha amani na kuhubiri upendo kwa masilahi ya jamii na Taifa. Rais Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Februari 3, 2025 wakati akizungumza na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa na ujumbe…

Read More

Uzinduzi kituo cha gesi UDSM wapigwa kalenda

Dar es Salaam. Uzinduzi wa kituo cha kujaza gesi kwenye vyombo vya moto eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kilichopangwa kuzinduliwa leo, Jumatatu, Februari 3, 2025 umeahirishwa kwa mara nyingine. Meneja Msimamizi wa mradi wa CNG Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Aristides Katto akizungumza na Mwananchi leo amesema kuahirishwa huko…

Read More

Junguni ni maji ya shingo kwa Chipukizi ZPL

TIMU ya Junguni United imeilaza Chipukizi United ya Mjini Chake Chake kwa kichapo cha mabao 3-2 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliopigwa kwenye Uwanja wa FFU. Junguni ndio iliyokuwa ya kwanza kuliona lango la Chipukizi lililofungwa na Salim Othuman Chubi katika dakika ya 22 kipindi cha kwanza kwa pigo la moja kwa moja…

Read More

Siasa za Trump, Elon Musk na hatima ya USAID

Dar es Salaam. Kiongozi wa Idara ya Ufanisi wa Serikali (Doge) Elon Musk, ametangaza kuwa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) linapaswa ‘kufa’ huku kukiwa na ripoti kuwa maofisa wawili waandamizi wa usalama wa shirika hilo wamepewa likizo kwa kukataa kuwapa wawakilishi wake ufikiaji wa nyaraka za siri. Taarifa za kuaminika zinaeleza kuwa,…

Read More

Rashford achekelea kutua Aston Villa

Manchester, England. Mshambuliaji Marcus Rashford, amefurahia kutua kwenye kikosi cha Aston Villa akisema kuna timu nyingi zilimtaka lakini hii ilikuwa chaguo lake la kwanza. Rashford ametua Aston Villa akitokea Manchester United kwa mkopo hadi mwishoni mwa msimu na kama timu hiyo itaridhishwa naye itamnunua moja kwa moja  kwa kitita cha pauni 40 milioni. Staa huyo…

Read More

Simba yaweka kambi ya muda Dodoma

Dar es Salaam. Baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 ugenini dhidi ya Tabora United, juzi Jumapili, Simba imeamua kuweka kambi ya muda ya siku mbili Dodoma kabla ya kuelekea Babati siku moja kabla ya mechi yake ya Ligi Kuu dhidi ya Fountain Gate, Februari 6 katika Uwanja wa Kwaraa. Msafara wa timu…

Read More

Italia yajitosa kuzalisha umeme kutoka kwenye takataka Tanzania

Dar es Salaam. Wakati matumizi ya nishati safi nchini yakipigiwa chapuo, ujumbe wa wafanyabiashara kutoka Italia umetua Tanzania kuangalia fursa mbalimbali, ikiwemo uzalishaji wa nishati hiyo kutoka kwenye takataka. Maeneo mengine yatakayotazamwa na kampuni hizo ni uwekezaji katika teknolojia za kilimo, uchumi wa buluu, sekta ya afya, na dawa. Hayo yamesemwa leo, Jumatatu, Februari 3,…

Read More