“HAYO ni maneno ya kunishutumu mke wangu lakini kama unanifikiria hivyo sawa.” “Na mimi nakwambia sawa.” Ukawa mwisho wa maneno yetu. Hata hivyo, usiku ule
Month: February 2025

Binti mrembo cheupe, ambaye ukimwangalia unaweza kusema ni Mwarabu, anawavuruga wanaume kwa kuolewa na mume zaidi ya mmoja. Hili ni bomu mkononi…

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema taasisi na madhehebu ya dini nchini yanawajibika kuisaidia Serikali kudumisha amani na kuhubiri upendo kwa masilahi ya

Dar es Salaam. Uzinduzi wa kituo cha kujaza gesi kwenye vyombo vya moto eneo la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kilichopangwa kuzinduliwa leo,

TIMU ya Junguni United imeilaza Chipukizi United ya Mjini Chake Chake kwa kichapo cha mabao 3-2 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliopigwa kwenye

Dar es Salaam. Kiongozi wa Idara ya Ufanisi wa Serikali (Doge) Elon Musk, ametangaza kuwa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) linapaswa ‘kufa’

Manchester, England. Mshambuliaji Marcus Rashford, amefurahia kutua kwenye kikosi cha Aston Villa akisema kuna timu nyingi zilimtaka lakini hii ilikuwa chaguo lake la kwanza. Rashford

Dar es Salaam. Baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 ugenini dhidi ya Tabora United, juzi Jumapili, Simba imeamua kuweka kambi ya muda

NA VICTOR MASANGU,PWANI Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama cha mapinduzi (CCM) Taifa Taifa Hamoud Juma (MNEC) kupitia wazazi katika juhudi za kukiimarisha chama ameahidi

Dar es Salaam. Wakati matumizi ya nishati safi nchini yakipigiwa chapuo, ujumbe wa wafanyabiashara kutoka Italia umetua Tanzania kuangalia fursa mbalimbali, ikiwemo uzalishaji wa nishati