
Museveni Awataka DRC Na M23 Wakutane – Global Publishers
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesisitiza umuhimu wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) kufanya mazungumzo ya amani ya moja kwa moja na kikundi cha Waasi wa M23 ili kukomesha vita inayopiganwa mashariki mwa nchi hiyo. Rais Museveni amesema vita hivyo haviwaathiri DRC na M23 pekee bali…