Rais wa Uganda, Yoweri Museveni Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesisitiza umuhimu wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) kufanya mazungumzo ya
Month: February 2025

Katika matoleo yaliyopita, tulichunguza chimbuko la kundi la waasi la M23 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na athari zake zilizosababisha taharuki nchini humo.

Dar es Salaam. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu imesema mikoa ya Arusha na Manyara inaongoza kwa ukeketaji kwa kiwango cha

MSHAMBULIAJI wa Yanga Princess, Ariet Udong anayefananishwa na nyota wa Yanga, Aziz KI atakuwa nje ya uwanja kwa miezi minne akiuguza majeraha ya mguu. Nyota

NAHODHA wa timu ya Taifa ya wanawake ya Twiga Stars, Opah Clement amejiunga na FC Juarez ya Mexico anayochezea Mtanzania mwenzake, Julietha Singano. Ukiachana na

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka majaji na mahakimu wa mahakama mbalimbali, kuhakikisha wanatekeleza wajibu wao kwa mujibu wa makubaliano ya kisheria na

Kufuatia kutekwa kwa Mji wa Goma nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kundi la waasi la M23 wiki iliyopita, baadhi ya viongozi wa

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud, amesema mabadiliko ni lazima, hivyo amewataka wanachama, wafuasi na wananchi wanaokiunga mkono chama hicho kupambana katika uchaguzi

Dar es Salaam. Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, amesema ushirikiano wa chama hicho na Serikali hauna maana kuwa amelamba asali, bali

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu, Hawa Subira Mwaifunga, ametaja masharti magumu katika sheria ya kuasili watoto kuwa chanzo cha kuendelea kuwapo kwa idadi kubwa ya