
Rwanda Yaikubalia SADC Kujadili Mzozo Wa DRC – Global Publishers
Rais wa Rwanda Paul Kagame Rwanda Jumapili imekubaliana na pendekezo la kufanyika kwa mkutano utakaosimamiwa na SADC na Jumuiya ya Afrika Mashariki kujadili mzozo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huku Tanzania ikitangaza pia kwamba wanajeshi wake wawili waliuawa katika mapigano ya hivi karibuni. Waasi wa M23 waliuteka mji wa Goma…