Jina la Fei Toto bado tishio, atabiriwa makubwa

Staa wa zamani wa Simba, Yanga na Taifa Stars, amekiri kukunwa na kiwango kikubwa cha soka alichonacho kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ aliyedai kama akikaza kidogo tu anaweza kufika mbali zaidi. Staa huyo aliyeanza soka jijini Arusha alikozaliwa na kukulia akiitumikia AFC Arusha kabla ya Simba kumbeba na baadae kutua Yanga,…

Read More

UVCCM CHEMBA WAMPA TANO MBUNGE WAO.

Umoja wa Chama Cha Mapinduzi ( UVCCM) Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma umempongeza Mbunge wa Jimbo hilo Mohammed Monni kwa kutekeleza na kusimamia ipasavyo miradi mbalimbali ya Maendeleo katika Wilaya hiyo Ikiwemo Kufungua shule 13 mpya za Msingi, shule 7 mpya za sekondari, Zahanati 11, pamoja na vituo vya afya. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti…

Read More

DKT. MASIKA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MRADI WA MEMBE

 📍 NIRC Dodoma   Mwenyekiti Bodi ya Uongozi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Dkt. Richard Masika amekiri kuridhishwa na hatua zinazofanywa na Tume katika utekelezaji miradi ya Umwagiliaji ikiwemo mradi wa ujenzi bwawa la Umwagiliaji Membe lililopo wilayani Chamwino mkoani Dodoma.   Dkt. Masika ametoa kauli hiyo mara baada ya kufanya ziara katika bwawa hilo ambapo kwa…

Read More

Chadema, ACT, NCCR, CUF kuhusu ‘Ukawa’ 2025 wasema…

Dar es Salaam. Matumaini ya vyama vya upinzani kuunda mseto ili kukikabili Chama cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kama ilivyotokea mwaka 2015, yako njia panda huku baadhi wakifananisha na ngamia kupita katika tundu la sindano. Hata hivyo, ACT-Wazalendo imesema kabla ya kuunda ushirika huo, kwanza wanapaswa kuungana kushinikiza kuundwa kwa Tume…

Read More

Watumishi ufadhili wa Marekani walia hofu kupoteza ajira

Dar es Salaam. Ni mtikisiko! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya sintofahamu kutawala miongoni mwa watumishi waliokuwa chini ya miradi ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), wengi wakihofu kukosa mishahara na ajira zao. Sintofahamu hiyo imekuja baada ya Januari 20, 2025 Rais wa Marekani, Donald Trump kutoa tamko la kusitisha kwa…

Read More

Latra wawageukia wenye malori mfumo wa VTS

Dar es Salaam.  Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra), imesema mwaka huu itaanza kufunga mfumo wa kufuatilia mwenendo wa gari (VTS) kwenye malori na kuweka utaratibu mpya wa ratiba kwa madereva wa magari hayo. Awali, mfumo huo ulifungwa kwenye mabasi ya abiria ikiwa ni hatua ya kupunguza ajali za barabarani zinazosababishwa na mwendokasi na uchovu…

Read More

Abdulla ageukia ripoti ya Tume ya Haki Jinai

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema ripoti ya Tume ya Haki Jinai inadhihirisha kuwa, utendaji wa taasisi hizo nchini hauridhishi kwa kuwa wananchi wameonesha uhitaji wa kufanya mabadiliko katika utoaji wa huduma unaozingatia haki na uwazi. Amesema mapendekezo hayo yapo ya Muungano na Zanzibar yakijumuisha udhibiti wa makosa ya…

Read More

SMZ na kipaumbele cha miradi ya  uwekezaji

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema kupitia sera zake imetoa kipaumbele miradi ya biashara na vivutio vinavyowavuta wawekezaji kwa lengo la kuwekeza. Kwa miaka minne, Zanzibar kupitia Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji (Zipa), imesajili miradi 430 yenye thamani ya Sh11 trilioni, kati ya miradi hiyo asilimia 30 ni majumba ya biashara huku ikitarajia kutoa…

Read More

Haya hapa mambo saba kuboresha sera mpya ya elimu

Dar es Salaam. Shirika la Uwezo Tanzania limeanisha maeneo saba yanayopaswa kufanyiwa mabadiliko katika Sera ya Elimu ya Mwaka 2014, toleo la 2023, iliyozinduliwa jana Jumamosi, Februari mosi, 2025, huku likitoa mapendekezo ya kinachopaswa kufanyika. Upungufu ulioainishwa umegusa maeneo ya utangulizi na hali ya sasa, kutambua mabadiliko ya kimataifa, mfumo, miundo, na utaratibu ulioboreshwa wa…

Read More