Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: February 2025

  • Home
  • 2025
  • February
  • Page 215
Michezo

Simba yaishusha Yanga kileleni, yaifumua Tabora United

February 2, 2025 Admin

NYUKI wa Tabora leo  wametulizwa nyumbani baada ya kufumuliwa tena mabao 3-0 na Simba katika mechi ya Ligi Kuu Bara na kuhitimisha tambo ilizokuwa nazo

Read More
Habari

Jaji Mruma: Wananchi wengi hawajui kudai haki zao

February 2, 2025 Admin

Morogoro. Kaimu Jaji Mfawidhi Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Morogoro, Amir Mruma amesema wananchi wengi hawajui haki zao katika kupata huduma muhimu ikiwemo umeme

Read More
Burudani

Asasi 157 zapewa kibali elimu kwa mpiga kura

February 2, 2025 Admin

Tanga. Jumla ya asasi 157 za kiraia zimepewa kibali na Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa ajali ya kutoa elimu ya mpigakura katika

Read More
Habari

RAIS SAMIA AMEING’ARISHA CHAMWINO KIMAENDELEO – DKT. BITEKO

February 2, 2025 Admin

-Serikali imewekeza zaidi ya bilioni 13 elimu ya Sekondari Chamwino-Uboreshaji wa miundombinu shilingi bilioni 17.9 zimetumika-Vijiji vyote 47 Chamwino vimewashwa umeme-Asema Sekta ya Nishati ipo

Read More
Habari

Polisi yazuia mazishi wanaodaiwa kunywa pombe yenye sumu

February 2, 2025 Admin

Manyara. Jeshi la Polisi mkoani hapa, limezuia kuzikwa kwa miili ya watu watatu wanaodaiwa kufariki kwa kunywa pombe yenye sumu, hadi uchunguzi wa kitaalamu ukamilike.

Read More
Habari

NEMC yatahadharisha mafuriko, maporomoko ya udongo mvua zijazo

February 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa tahadhari za kimazingira na namna watu wanavyoweza kuepuka mafuriko, maporomoko ya

Read More
Habari

Tanzania ya tatu kuingiza nguo za mitumba Afrika, ikitumia Sh379.9 bilioni

February 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Tanzania imetajwa kushika nafasi ya tatu ndani ya Bara la Afrika kwa kuingiza nguo za mitumba katika mwaka 2022, ripoti ya tovuti

Read More
Michezo

Ismail Mgunda aanza tizi huko AS Vita

February 2, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Mashujaa FC, Ismail Mgunda ameanza rasmi mazoezi ya kuitumikia AS Vita ya DR Congo iliyomsajili hivi karibuni baada ya kukamilisha taratibu

Read More
Habari

Rwanda yaipinga SADC, yadai Tshisekedi ana mpango wa kumpindua Kagame

February 2, 2025 Admin

Kigali. Nchi ya Rwanda imekanusha taarifa iliyodai kutolewa na mkutano wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kuhusu uhusika wake na machafuko yanayoendelea Jamhuri

Read More
Michezo

Bosi mpya Pamba Jiji kuanza na mambo haya

February 2, 2025 Admin

OFISA Mtendaji Mkuu wa Pamba Jiji, Peter Juma Lehhet amesema mojawapo ya malengo yake makubwa ni kuhakikisha timu hiyo ya jijini Mwanza inasalia Ligi Kuu

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 214 215 216 … 226 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.