Simba yaishusha Yanga kileleni, yaifumua Tabora United

NYUKI wa Tabora leo  wametulizwa nyumbani baada ya kufumuliwa tena mabao 3-0 na Simba katika mechi ya Ligi Kuu Bara na kuhitimisha tambo ilizokuwa nazo timu hiyo mbele ya vigogo, ikithibitisha unyonge uliopitiliza dhidi ya Mnyama kwa kufungwa jumla ya mabao 12-0 katika mechi nne walizokutana katika ligi kuanzia msimu uliopita. Tabora ilionekana tishio baada…

Read More

Jaji Mruma: Wananchi wengi hawajui kudai haki zao

Morogoro. Kaimu Jaji Mfawidhi Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Morogoro, Amir Mruma amesema wananchi wengi hawajui haki zao katika kupata huduma muhimu ikiwemo umeme na maji. Amesema hata wanapopata  athari zitokanazo na huduma iliyotolewa kwa uzembe, huchukulia ni hali ya kawaida. Jaji Mruma amebainisha hayo leo Jumapili, Februari 2, 2025 wakati akifunga maonyesho ya…

Read More

Asasi 157 zapewa kibali elimu kwa mpiga kura

Tanga. Jumla ya asasi 157 za kiraia zimepewa kibali na Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa ajali ya kutoa elimu ya mpigakura katika uboreshaji wa daftari la kudumu la wapigakura, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka huu. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji Jacobs Mwambegele…

Read More

RAIS SAMIA AMEING’ARISHA CHAMWINO KIMAENDELEO – DKT. BITEKO

-Serikali imewekeza zaidi ya bilioni 13 elimu ya Sekondari Chamwino-Uboreshaji wa miundombinu shilingi bilioni 17.9 zimetumika-Vijiji vyote 47 Chamwino vimewashwa umeme-Asema Sekta ya Nishati ipo salama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya kazi kubwa ya kuing’arisha Chamwino kwa kutatua changamoto mbalimbali za wananchi wa Jimbo hilo. Hayo yamebainishwa…

Read More

Polisi yazuia mazishi wanaodaiwa kunywa pombe yenye sumu

Manyara. Jeshi la Polisi mkoani hapa, limezuia kuzikwa kwa miili ya watu watatu wanaodaiwa kufariki kwa kunywa pombe yenye sumu, hadi uchunguzi wa kitaalamu ukamilike. Watu hao Madai Amsi ‘Samweli’ (42), Hao Bado (59) na Nada Yaho ‘Paulina’ (43) wakazi wa Kijiji cha Bashnet wilayani Babati mkoani Manyara walifariki dunia Januari 31, 2025 kwa nyakati…

Read More

NEMC yatahadharisha mafuriko, maporomoko ya udongo mvua zijazo

Dar es Salaam. Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa tahadhari za kimazingira na namna watu wanavyoweza kuepuka mafuriko, maporomoko ya udongo kufuatia mvua kubwa zinazotarajiwa kunyesha katika msimu ujao kama ilivyotangazwa na Mamlaka ya hali ya Hewa Tanzania (TMA). Miongoni mwa tahadhari zinazopaswa kuchukuliwa ni kupambana na watu wanaotupa taka…

Read More

Ismail Mgunda aanza tizi huko AS Vita

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Mashujaa FC, Ismail Mgunda ameanza rasmi mazoezi ya kuitumikia AS Vita ya DR Congo iliyomsajili hivi karibuni baada ya kukamilisha taratibu zote zilizotakiwa nchini humo. Mgunda ametua AS Vita inayonolewa na kocha wa zamani wa Azam FC, Youssouf Dabo ni miongoni mwa wachezaji watano wapya waliosajiliwa na timu hiyo akiwamo nyota…

Read More

Rwanda yaipinga SADC, yadai Tshisekedi ana mpango wa kumpindua Kagame

Kigali. Nchi ya Rwanda imekanusha taarifa iliyodai kutolewa na mkutano wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kuhusu uhusika wake na machafuko yanayoendelea Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC). Licha ya kukanusha madai hayo, imeinyooshea kidole DRC ikiishutumu kutaka kuipindua Serikali ya Rwanda iliyopo madarakani. Hayo yameelezwa leo Jumapili Februari 2, 2025 kupitia taarifa iliyotolewa…

Read More

Bosi mpya Pamba Jiji kuanza na mambo haya

OFISA Mtendaji Mkuu wa Pamba Jiji, Peter Juma Lehhet amesema mojawapo ya malengo yake makubwa ni kuhakikisha timu hiyo ya jijini Mwanza inasalia Ligi Kuu Bara msimu ujao, huku akiomba zaidi sapoti kwa wadau na mashabiki wa kikosi hicho. Akizungumza na Mwanaspoti, Peter alisema licha ya mikakati mingi iliyopo ndani ya kikosi hicho ila jambo…

Read More