Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: February 2025

  • Home
  • 2025
  • February
  • Page 216
Michezo

Kefa apewa Simba, Kyando apigwa chini

February 2, 2025 Admin

KAMATI ya waamuzi nchini imefanya mabadiliko ya mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Tabora United na Simba. Katika mchezo huo

Read More
Michezo

Kocha Alliance aeleza kilichowaponza kwa Yanga Princess

February 2, 2025 Admin

KOCHA Mkuu wa Alliance Girls, Sultan Juma amesema kilichowaponza kudondosha pointi dhidi ya Yanga Princess ni pamoja na kuchelewa kwa vibali vya wachezaji wake.

Read More
Michezo

Ceasiaa Quneens yaongeza wane dirisha dogo

February 2, 2025 Admin

CEASIAA Queens ya Iringa katika dirisha hili dogo imeongeza wachezaji wanne kwenye maeneo tofauti. Timu hiyo iko nafasi ya saba kwenye msimamo wa ligi ikicheza

Read More
Habari

DKT. MASIKA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MRADI WA MEMBE,ATOA MWITO KWA WAKULIMA

February 2, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu,Dodoma MWENYEKITI Bodi ya Uongozi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Dkt. Richard Masika amekiri kuridhishwa na hatua zinazofanywa na Tume katika utekelezaji miradi

Read More
Michezo

Jentrix atavunja rekodi yake Simba Queens?

February 2, 2025 Admin

KIWANGO kinachoonyeshwa na straika wa Simba Queens, Jentrix Shikangwa huenda akavunja rekodi yake ya msimu 2022/23 wa kufunga mabao 17. Hadi sasa ndiye kinara wa

Read More
Habari

Makalla: CCM haikubadili gia angani uteuzi wagombea urais

February 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amesema chama hicho hakikubadili gia angani kwa kuwateua wagombea urais

Read More
Habari

Waviu 23,850 wabainika kuwa na VVU hatua ya juu

February 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Jumla ya watu 23,850 wanaoishi na VVU (Waviu) walifika katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini wakiwa katika hatua za juu

Read More
Habari

Watendaji daftari la wapiga kura watakiwa kufanya kazi kwa weledi

February 2, 2025 Admin

  Na. Mwandishi Wetu Watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Tanga na Pwani wametakiwa kufanya kazi kwa weledi, bidii na moyo

Read More
Habari

Askari wawili JWTZ wafariki dunia, wanne wajeruhiwa DRC

February 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) limesema askari wake wawili wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa wakitekeleza majukumu ya ulinzi wa amani nchini

Read More
Habari

NACTVET KUSHIRIKIANA NA VIWANDA KUTIMIZA MATAKWA YA SERA MPYA YA ELIMU

February 2, 2025 Admin

Na.Alex Sonna-DODOMA KAIMU Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Dkt. Amani Makota,amesema kuwa Baraza hilo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 215 216 217 … 226 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.