Kefa apewa Simba, Kyando apigwa chini

KAMATI ya waamuzi nchini imefanya mabadiliko ya mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Tabora United na Simba. Katika mchezo huo unaochezwa leo Februari 2, awali mwamuzi wa kati alipangwa kuchezesha, Amina Kyando kutoka Morogoro, lakini baada ya muda mfupi amepigwa chini na nafasi yake kuchuliwa na Kefa Kyombo wa Mbeya…

Read More

Ceasiaa Quneens yaongeza wane dirisha dogo

CEASIAA Queens ya Iringa katika dirisha hili dogo imeongeza wachezaji wanne kwenye maeneo tofauti. Timu hiyo iko nafasi ya saba kwenye msimamo wa ligi ikicheza michezo tisa ushindi mechi tatu, sare moja na kupoteza tano ikikusanya pointi 10. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha wa timu hiyo, Ezekiel Chobanka alisema wachezaji hao watatumika kwenye mchezo na Simba…

Read More

Jentrix atavunja rekodi yake Simba Queens?

KIWANGO kinachoonyeshwa na straika wa Simba Queens, Jentrix Shikangwa huenda akavunja rekodi yake ya msimu 2022/23 wa kufunga mabao 17. Hadi sasa ndiye kinara wa mabao akiweka nyavuni mabao 16 huku Stumai Abdallah wa JKT Queens akiwa nayo 11. Ndiye mshambuliaji aliyefunga hat-trick nyingi kwenye michezo 11 akifunga tatu huku Stumai akiweka mbili. Ni kama…

Read More

Makalla: CCM haikubadili gia angani uteuzi wagombea urais

Dar es Salaam. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amesema chama hicho hakikubadili gia angani kwa kuwateua wagombea urais mapema kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Badala yake, amesema uamuzi wa kuwateua wagombea hao, umechochewa na shinikizo la wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho, baada ya kuridhishwa na…

Read More

Waviu 23,850 wabainika kuwa na VVU hatua ya juu

Dar es Salaam. Jumla ya watu 23,850 wanaoishi na VVU (Waviu) walifika katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini wakiwa katika hatua za juu za ugonjwa wa VVU na Ukimwi katika kipindi cha miezi sita, kuanzia Julai hadi Desemba 2024, takwimu za Wizara ya Afya zinaonyesha. Idadi hiyo ni kati ya watu waliokwenda vituo…

Read More

Askari wawili JWTZ wafariki dunia, wanne wajeruhiwa DRC

Dar es Salaam. Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) limesema askari wake wawili wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa wakitekeleza majukumu ya ulinzi wa amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo. Taarifa hiyo imetolewa leo Jumapili Februari 2, 2025 na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa JWTZ, Kanali Gaudentius Ilonda. “Kufuatia mashambulizi ya mfululizo katika maeneo…

Read More