MADINA Idd na Vicky Elias wamedai zoezi ya kuzisoma changamoto za viwanja vya Leopards Creek, Mpumalanga, Afrika Kusini linaendelea vyema kabla ya michuano ya gofu
Month: February 2025

KUSHINDA mechi ya ufunguzi wa michuano ya ICC League B dhidi ya Italy na tatu nyingine zinazofuata, ndio azma kuu ya timu ya Tanzania katika

MSHAMBULIAJI kinda wa Tanzania, Mourice Sichone anayekipiga katika timu ya Trident FC ya Zambia amesema anatamani aisaidie timu hiyo kuipandisha Ligi Kuu msimu huu. Msimu

SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) imeweka wazi itashirikiana na mwanariadha Gabriel Geay kuhakikisha mashindano ya mbio za nyika aliyoyaanda nyota huyo yanafanyika kwa ubora mkubwa.

Jumapili ya kuvuna na Meridianbet imefika kibabe sana ambapo leo hii ODDS za maana zipo na mechi za leo ni ushindi tuuh. Unasubiri nini kununua

NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Samatta mambo yanaonekana kuwa magumu kwa upande wake akiwa na PAOK ya Ugiriki amekuwa akikosa nafasi ya kuanza kwenye kikosi cha

Washington. Rais Donald Trump wa Marekani amesema aliagiza mashambulizi ya anga ya kijeshi dhidi ya mpangaji mkuu wa mashambulizi na wanachama wengine wa kundi la

Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi ametoa wito kwa taasisi zote za kisheria na wadau wa haki nchini kutumia mifumo ya kidijitali kupata takwimu

Dar es Salaam. Wajumbe 84 wa mkutano mkuu wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), wamemchagua, Richard Lyimo kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa miaka

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira(NEMC) wameziomba Mamlaka za serikali za mitaa katika ngazi zote kuchukua hatua stahiki kupambana na watu wanaotupa