Madina, Vicky mguu sawa Sauzi

MADINA Idd na Vicky Elias wamedai zoezi ya kuzisoma changamoto za viwanja vya Leopards Creek, Mpumalanga, Afrika Kusini linaendelea vyema kabla ya michuano ya gofu ya wanawake wa Afrika  kuanza rasmi kuesho kutwa katika viwanja hivyo. Madina kutoka klabu ya Arusha Gymkhana na Vicky Elias  kutoka Dar Gymkhana ndiyo Watanzania pekee katika michuano hii inaoshirikiua…

Read More

Tanzania ipo tayari kupindua meza

KUSHINDA mechi ya ufunguzi wa michuano ya ICC League B dhidi ya Italy na tatu nyingine zinazofuata, ndio azma kuu ya timu ya Tanzania katika ligi hii kimataifa inayoanza kuchezwa rasmi ijumaa hii nchini Hong Kong. Ikiwa na matumaini makubwa ya ‘kupindua meza’ nchini Hong Kong, timu ya Tanzania ambayo iliagwa rasmi na mwenyekiti wa…

Read More

Kinda la Tanzania linaitaka Ligi ya Zambia

MSHAMBULIAJI kinda wa Tanzania, Mourice Sichone anayekipiga katika timu ya Trident FC ya Zambia amesema anatamani aisaidie timu hiyo kuipandisha Ligi Kuu msimu huu. Msimu uliopita Trident ilishuka daraja na kushiriki Ligi Daraja la Kwanza baada ya kumaliza mkiani na pointi 26. Kinda huyo (18) alisajiliwa dirisha dogo akitokea Mpulungu Harbour FC ya nchini humo…

Read More

RT kumpiga tafu Geay mbio za nyika Manyara

SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) imeweka wazi itashirikiana na mwanariadha Gabriel Geay kuhakikisha mashindano ya mbio za nyika aliyoyaanda nyota huyo yanafanyika kwa ubora mkubwa. Geay mwenye rekodi ya Marathoni ya taifa kwa muda wa 2:03:00 aliyoiweka mwaka 2022 kupitia mbio za Valencia Marathon zilizofanyika Hispania ameandaa mbio za Nyika za Km 2, Km 4,…

Read More

Samatta mambo magumu Ugiriki | Mwanaspoti

NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Samatta mambo yanaonekana kuwa magumu kwa upande wake akiwa na PAOK ya Ugiriki amekuwa akikosa nafasi ya kuanza kwenye kikosi cha kwanza cha timu yake hiyo. Msimu wake wa kwanza akiwa PAOK 2023/24 Samatta alicheza mechi 29 za mashindano yote akifunga mabao mawili huku msimu huu akicheza mechi sita akiwa hana…

Read More

Trump ashambulia maficho ya ISIS Somalia

Washington. Rais Donald Trump wa Marekani amesema aliagiza mashambulizi ya anga ya kijeshi dhidi ya mpangaji mkuu wa mashambulizi na wanachama wengine wa kundi la kigaidi la ISIS nchini Somalia. “Wauaji hawa, ambao tuliwakuta wakijificha kwenye mapango, walikuwa tishio kwa Marekani na washirika wetu,” Trump aliandika kwenye mitandao ya kijamii. “Mashambulizi hayo yaliharibu mapango waliyoishi…

Read More

Wakili Mkuu wa Serikali Atoa Wito wa Matumizi ya Mifumo ya Kidijitali kwa ajili ya Ufuatiliaji wa Migogoro na Uimarishaji wa Haki

Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi ametoa wito kwa taasisi zote za kisheria na wadau wa haki nchini kutumia mifumo ya kidijitali kupata takwimu sahihi zitakazowawezesha kufuatilia migogoro yote waliyoisikiliza ili kuhakikisha inamalizika kwa mafanikio. Dkt. Possi ametoa wito huo leo tarehe 01 Februari, 2025 alipotembelea mabanda ya maonesho ya taasisi mbali mbali nchini…

Read More