FAMILIA ya soka nchini imepata pigo jingine baada ya nyota wa zamani wa Nazareth ya Njombe, Simba, Mtibwa Sugar na Rayon Sports ya Rwanda, Geoffrey
Month: February 2025

Ndani ya siku chache tu tangu kuundwa kwa M23, mapigano makali yalizuka kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23

KLABU ya mbio za magari ya Mount Uluguru imetwaa taji la klabu bora ya mwaka 2024 na kupewa tuzo maalum katika hafla ya utoaji zawadi

MSHAMBULIAJI wa TMA, Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ amesema vita yake iliyopo ya ufungaji na nyota wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh inamfanya kutobweteka bali kuendelea kupambana zaidi,

KOCHA wa Kiluvya United, Zulkifri Iddi ‘Mahdi’ amesema moja ya malengo ya timu hiyo kwa sasa ni kuendelea kusalia msimu ujao wa Ligi ya Championship,

KOCHA msaidizi wa TMA Stars, Augustino Thomas ameweka wazi kuwa makosa ya kibinadamu ya kujirudia rudia ambayo yamekuwa yakifanywa na makipa wao yamechangia timu hiyo

Na Mwandishi Wetu WANAFUNZI 30 wa shule ya St Mary’s Mbezi waliopata daraja la kwanza kwenye matokeo ya kidato cha nne mwaka huu wamepewa

BAADA ya Lucas Sendama kujiunga na Stand United ‘Chama la Wana’ katika dirisha dogo lililofungwa Januari 15, mwaka huu, mshambuliaji huyo amesema ni wakati sahihi

NGOJA tuone leo itakuwaje pale ambapo Tabora United, vijana wa kocha Anicet Kiazayidi watakapokuwa wenyeji wa Simba inayonolewa na Fadlu Davids katika mchezo wa Ligi

KIKOSI cha Mtibwa Sugar kimeendeleza umwamba baada ya kuichapa Cosmopolitan mabao 3-0 wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Manungu Complex Morogoro, ukiwa ni ushindi wa 14