Nyota wa zamani Simba, Mtibwa afariki dunia

FAMILIA ya soka nchini imepata pigo jingine baada ya nyota wa zamani wa Nazareth ya Njombe, Simba, Mtibwa Sugar na Rayon Sports ya Rwanda, Geoffrey Mhando kufariki dunia asubuhi ya leo Jumapili, ikiwa ni siku chache tangu Mmiliki wa Kituo cha Alliance, James Bwire kuiaga dunia jijini Mwanza. Bwire aliyekumbwa na mauti Januari 25 anatarajiwa…

Read More

Rwanda ilivyoanza kuhusishwa na M23 mwanzoni-3

Ndani ya siku chache tu tangu kuundwa kwa M23, mapigano makali yalizuka kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 katika wilaya ya Rutshuru. Katika muda wa takriban wiki tatu baada ya M23 kuanzishwa, vita kati yao na jeshi la DRC vilisababisha zaidi ya raia 30,000 kuyakimbia makazi yao na…

Read More

Mt Uluguru kidedea tuzo za madereva

KLABU ya mbio za magari ya Mount Uluguru imetwaa taji la klabu bora ya mwaka 2024  na kupewa tuzo maalum katika hafla ya utoaji zawadi iliyofanyika mwishoni mwa juma katika Hoteli ya Golden Tulip, jijini. Klabu hiyo ya mkoani Morogoro ilishinda tuzo ya ubora baada ya mchuano mkali na klabu ya Arusha baada ya vilabu…

Read More

Haaland, Raizin katika vita mpya

MSHAMBULIAJI wa TMA, Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ amesema vita yake iliyopo ya ufungaji na nyota wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh inamfanya kutobweteka bali kuendelea kupambana zaidi, huku akieleza kila mchezo kwake anauchukulia kwa usiriaz. Kauli yake inajiri baada ya nyota hao kupishana mabao mawili, Shahame akifunga mabao 12 huku Raizin ambaye ndiye kinara akiwa na 14,…

Read More

Mahdi afichua siri Kiluvya United

KOCHA wa Kiluvya United, Zulkifri Iddi ‘Mahdi’ amesema moja ya malengo ya timu hiyo kwa sasa ni kuendelea kusalia msimu ujao wa Ligi ya Championship, baada ya kuona nafasi waliyopo ni finyu ya kupigania nafasi nne za juu kama walivyotaka. Akizungumza na Mwanaspoti, ‘Mahdi’ alisema kwa sasa hawana njia nyingine ya kuipigania timu hiyo zaidi…

Read More

Makipa wamliza kocha TMA Stars

KOCHA msaidizi wa TMA Stars, Augustino Thomas ameweka wazi kuwa makosa ya kibinadamu ya kujirudia rudia ambayo yamekuwa yakifanywa na makipa wao yamechangia timu hiyo kutokuwa na mwenendo mzuri katika Ligi ya Championship. Timu hiyo inashika nafasi ya tano kwenye msimamo kwa alama 31 baada ya kucheza mechi 17 huku ikiwa na lengo la kupanda…

Read More

Nyota Chama la Wana matumaini kibao

BAADA ya Lucas Sendama kujiunga na Stand United ‘Chama la Wana’ katika dirisha dogo lililofungwa Januari 15, mwaka huu, mshambuliaji huyo amesema ni wakati sahihi kwake wa kupambana na kuirejesha heshima yake baada ya kuanza msimu vibaya. Nyota huyo amerejea tena ndani ya kikosi hicho kwa mara ya pili baada ya kukitumikia msimu uliopita, ingawa…

Read More

Tabora United vs Simba ngoja tuone… Ugumu uko hapa

NGOJA tuone leo itakuwaje pale ambapo Tabora United, vijana wa kocha Anicet Kiazayidi watakapokuwa wenyeji wa Simba inayonolewa na Fadlu Davids katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao unatolewa macho na kila mmoja kutokana na rekodi zilivyo na ushindani wa duru la pili la Ligi Kuu Bara. Mchezo huo uliopangwa kufanyika kwenye Uwanja wa Ali…

Read More

Mtibwa Sugar ni mwendo mdundo

KIKOSI cha Mtibwa Sugar kimeendeleza umwamba baada ya kuichapa Cosmopolitan mabao 3-0 wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Manungu Complex Morogoro, ukiwa ni ushindi wa 14 wa timu hiyo msimu huu katika michezo yake 17, iliyocheza hadi sasa. Akizungumza na Mwanaspoti baada ya mchezo huo, kocha mkuu wa Mtibwa Sugar, Awadh Juma ‘Maniche’, alisema siri kubwa…

Read More