Suzan Lyimo na kilio cha wazee kuachiwa wajukuu

Miaka ya hivi karibuni bibi na babu wamekuwa wakikwepa kuishi na wajukuu, huku baadhi ya sababu zikitajwa ni maisha kuwa magumu, lakini wenye watoto wao kushindwa kuwagharimia matumizi yao. Jambo hili linaungwa mkono na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha), Susan Lyimo, ambaye hivi karibuni alifanya mahojiano na Mwananchi na kuzungumzia mambo mbalimbali…

Read More

TUONGEE KIUME: Unachotakiwa kumfanyia mwanamke anayejizeesha

Mara ya kwanza ulipokutana na mkeo, alikuwa malaika. Alikuwa ni mwanamke mzuri, mrembo kupita maelezo. Alikuwa ni mwanamke anayeweza kubeba sifa zote tamu na bado akabaki na nafasi ya kupokea zingine. Alikuwa ni mwanamke wa ndoto yako, mwanamke unayeweza kumtambulisha kwa ndugu na jamaa zako bila wasiwasi. Kipindi kile ulikuwa unamuona kama Miss Tanzania, kama…

Read More

CCM INA AMINI KWENYE UCHAGUZI WA KIDEMOKRASIA YEYOTE ASHINDE KWA UWEZO WAKE – MAKALLA

-𝑨𝒔𝒊𝒔𝒊𝒕𝒊𝒛𝒂 𝑪𝑪𝑴 𝒏𝒊 𝒊𝒎𝒂𝒓𝒂 𝒏𝒂 𝒊𝒑𝒐 𝒕𝒂𝒚𝒂𝒓𝒊 𝒌𝒘𝒂 𝒖𝒄𝒉𝒂𝒈𝒖𝒛𝒊 𝒘𝒂𝒌𝒂𝒕𝒊 𝒘𝒐𝒘𝒐𝒕𝒆. Chama Cha Mapinduzi kupitia Katibu wake wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo 𝐂𝐏𝐀. 𝐀𝐦𝐨𝐬 𝐌𝐚𝐤𝐚𝐥𝐥𝐚 amesema mambo yote yanayohusiana na matusi na kejeli si sehemu ya utamaduni wa chama hiko. CPA. Makalla amesisitiza kuwa Chama Cha Mapinduzi kinaamini katika kuelekea…

Read More

Majina ajira mpya serikalini haya hapa, walimu ‘kibao’

Dar es Salaam. Sekretarieti ya ajira imetangaza majina 122 kuingia katika ajira mpya serikalini jana Februari Mosi 2025. Kwa mujibu wa tangazo hilo lililochapishwa katika tovuti ya sektretarieti ya ajira, 95 ni walimu wa kada mbalimbali, ambayo ni sawa na asilimia 77.8 ya walioitwa kazini. Walimu hao wamepangiwa katika halmashauri tatu kama ifuatavyo; Halmashauri ya…

Read More

CPA KASORE:ASILIMIA 80 YA MAFUNZO YA VETA NI UJUZI.

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA),CPA Anthony Kasore,alipotembelea banda la VETA katika Maonesho ya uzinduzi wa Sera ya Elimu na Mafunzo kwa mwaka 2014, toleo la 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya…

Read More

Ndoa ya kulazimisha ilivyomponza Gilombo

Kuna kisa cha mwanandoa Gilombo. Gilo hakujaliwa sura wala tabia nzuri. Alikuwa mzinzi wa kutisha aliyelazimisha ndoa kwa kijana handsome na mwenye nazo asiye na uzoefu. Alibahatika kupata mtoto wa kike katika ndoa ya kulazimisha iliyoduma miaka miwili tu. Baada ya kuishi na mumewe kwa mwaka mmoja na kulazimisha kubeba mimba bila ya makubaliano, jambo…

Read More

Ahoua awaweka mezani vigogo Simba

MECHI 23 tu zimetosha kwa Simba kuamini kiungo wake fundi Jean Charles Ahoua ni mali inayotakiwa kulindwa ipasavyo na kuendelea kuvaa jezi ya timu hiyo. Kiungo huyo aliyecheza mechi 15 za Ligi Kuu Bara msimu huu na nane za Kombe la Shirikisho Afrika, amefunga mabao manane kwenye mashindano hayo ndani ya nusu msimu huu pekee….

Read More