Miaka ya hivi karibuni bibi na babu wamekuwa wakikwepa kuishi na wajukuu, huku baadhi ya sababu zikitajwa ni maisha kuwa magumu, lakini wenye watoto wao
Month: February 2025

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, SACP Janeth Magomi Mkazi wa Kijiji cha Chambo, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Zaharani Patrombeyu (44),

Mara ya kwanza ulipokutana na mkeo, alikuwa malaika. Alikuwa ni mwanamke mzuri, mrembo kupita maelezo. Alikuwa ni mwanamke anayeweza kubeba sifa zote tamu na bado

Kwa kawaida, popote haiba mbili tofauti zinapogongana lazima mgogoro hutokea, ingawa hali hii inaweza kupunguzwa au hata kuepukwa kabisa. Kwa kuiangalia migogoro, watu wanaweza kugawanywa

-𝑨𝒔𝒊𝒔𝒊𝒕𝒊𝒛𝒂 𝑪𝑪𝑴 𝒏𝒊 𝒊𝒎𝒂𝒓𝒂 𝒏𝒂 𝒊𝒑𝒐 𝒕𝒂𝒚𝒂𝒓𝒊 𝒌𝒘𝒂 𝒖𝒄𝒉𝒂𝒈𝒖𝒛𝒊 𝒘𝒂𝒌𝒂𝒕𝒊 𝒘𝒐𝒘𝒐𝒕𝒆. Chama Cha Mapinduzi kupitia Katibu wake wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi

Dar es Salaam. Sekretarieti ya ajira imetangaza majina 122 kuingia katika ajira mpya serikalini jana Februari Mosi 2025. Kwa mujibu wa tangazo hilo lililochapishwa katika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya

Litumwe kwa DIRECTOR GENERAL NATIONAL SOCIAL SECURITY FUND (NSSF)

Kuna kisa cha mwanandoa Gilombo. Gilo hakujaliwa sura wala tabia nzuri. Alikuwa mzinzi wa kutisha aliyelazimisha ndoa kwa kijana handsome na mwenye nazo asiye na

MECHI 23 tu zimetosha kwa Simba kuamini kiungo wake fundi Jean Charles Ahoua ni mali inayotakiwa kulindwa ipasavyo na kuendelea kuvaa jezi ya timu hiyo.