Mwanza. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema hakutoa amri ya kukamatwa makada 20 wa Chadema waliokwenda kuonana naye kupata mrejesho wa uchunguzi wa
Month: February 2025

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wanawake kuvunja vikwazo ili kushiriki katika uchaguzi na kuthibitisha uwezo wao wa uongozi. Aliwahimiza wanawake kusaidiana na kuchukua majukumu ya

Unguja. Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikitoa mwelekeo wa bajeti ya mwaka 2025/26 kufikia Sh6.8 trilioni, imetaja vipaumbele katika utekelezaji wake. Makadirio hayo

Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi (CCM)kimeombwa kuunda chombo maalum kwa ajili ya kufuatilia tuhuma mbalimbali zinazotolewa na baadhi ya makada wa Chama hicho kwa

Unguja. Licha ya kuwapo madai kuwa hakuna faida zinazopatikana katika uwekezaji Zanzibar, Serikali imesema faida zipo na ndio sababu ya kuendelea kutoa kipaumbele cha miradi

Last updated Feb 26, 2025 Mkwanja wa kutosha utakuepo leo ndani ya Meridianbet kwani wale wanaobashiri watapata fursa ya kunyakua mamilioni

Tarime. Serikali imetoa zaidi ya Sh1.4 bilioni kukamilisha mradi wa ujenzi wa soko la kimkakati la kimataifa la mazao ya kilimo katika eneo la Sirari

Mwanza. Wakazi wa Kanda ya Ziwa wametakiwa kuongeza ulaji wa samaki, kutokana na ongezeko na upatikanaji wa kitoweo hicho unaochangiwa na ufugaji wa kwenye vizimba.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amewasili jijini Lilongwe, Malawi, kushiriki Mkutano wa Sita wa Tume