RC Mtanda awakana polisi kukamatwa makada Chadema

Mwanza. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema hakutoa amri ya kukamatwa makada 20 wa Chadema waliokwenda kuonana naye kupata mrejesho wa uchunguzi wa kupotea kwa Katibu wa Baraza la Vijana wa chama hicho (Bavicha), Amani Manengelo. Makada hao wa Chadema wamekamatwa kwa muda leo Jumatano, Februari 26, 2025 saa tatu asubuhi wakati wakielekea…

Read More

BENKI YA STANBIC TANZANIA YAZAWADIWA CHETI CHA ATE

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wanawake kuvunja vikwazo ili kushiriki katika uchaguzi na kuthibitisha uwezo wao wa uongozi. Aliwahimiza wanawake kusaidiana na kuchukua majukumu ya dhati katika kufanya maamuzi.  Ujumbe wake ulikuwa wazi kwamba wanawake lazima wainuke, wachague dhana potofu, na kuunda mustakabali wa Tanzania kupitia uamuzi na vitendo. Aliyazungumza hayo kwenye mahafali ya kumi…

Read More

Bajeti 2025/26 Zanzibar yapaa | Mwananchi

Unguja. Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ)  ikitoa mwelekeo wa bajeti ya mwaka 2025/26 kufikia Sh6.8 trilioni, imetaja vipaumbele katika utekelezaji wake. Makadirio hayo ni ongezeko la Sh1.621 trilioni sawa na asilimia 31 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2024/2025 ya Sh5.182 trilioni. Hayo yameelezwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya leo…

Read More

Rais Mwinyi: Uwekezaji umechochea sekta ya utalii

Unguja. Licha ya kuwapo madai kuwa hakuna faida zinazopatikana katika uwekezaji Zanzibar, Serikali imesema faida zipo na ndio sababu ya kuendelea kutoa kipaumbele cha miradi ya uwekezaji visiwani humo. Hayo ameyasema Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi leo Jumatano, Februari 26, 2025 wakati akiweka jiwe la msingi la mradi wa Hoteli ya Sandies Nungwi Beach,…

Read More

Sh1.4 bilioni kukwamua soko lililokwama kwa miaka 10 Mara

Tarime. Serikali imetoa zaidi ya Sh1.4 bilioni kukamilisha mradi wa ujenzi wa soko la kimkakati la kimataifa la mazao ya kilimo katika eneo la Sirari mkoani Mara, ambapo ujenzi wake ulikwama kwa takriban miaka 10. Soko hilo linalotarajiwa kunufaisha wafanyabiashara wa mazao ya kilimo zaidi ya 300 linatajwa kuwa mwarobaini wa changamoto zinazowakumba wafanyabiashara hao….

Read More

Je, unakula kilo 20 za samaki kwa mwaka?

Mwanza. Wakazi wa Kanda ya Ziwa wametakiwa kuongeza ulaji wa samaki,  kutokana na ongezeko na upatikanaji wa kitoweo hicho unaochangiwa na ufugaji wa kwenye vizimba. Kwa mujibu wa hotuba ya makadirio ya bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha wa 2024/25, uzalishaji wa samaki nchini uliongezeka hadi tani 472,579,34 kufikia Aprili,…

Read More