Kiev. Jeshi la Russia limefanya mashambulizi mfululizo usiku wa kuamkia leo yaliyolenga miundombinu ya gesi iliyopo maeneo mbalimbali nchini Ukraine, Wizara ya Ulinzi ya Russia
Month: February 2025

MWENYEKITI wa Klabu ya Coastal Union, Muhsin Ramadhan Hassan, ameteua Kamati za Kudumu klabuni hapo ikiwa zimepita takribani siku 40 tangu uongozi mpya uingie madarakani.

Mufindi. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Mufindi, Marceline Mkini amewaonya baadhi ya wanachama wanaoanza kujipitisha kabla ya utaratibu

KIUNGO mshambuliaji wa KMC, Msomalia Ibrahim Elias ‘Mao’ ameanza mazoezi na kikosi hicho kinachojiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam utakaopigwa Februari

Moshi. Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali, imesababisha maafa katika Kitongoji cha Zilipendwa Kata ya Makuyuni, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro baada ya nyumba kuezuliwa

BEKI wa Dodoma Jiji, Mkongomani Heritier Lulihoshi amesema licha ya ujio wa mabeki wapya kikosini, Mukrim Issa ‘Miranda’ aliyetokea Coastal Union, na Abdi Banda aliyesajiliwa

MIEZI sita tu ndani ya Ligi Kuu Bara imetosha kumng’oa mshambuliaji wa Singida Black Stars ambaye alikuwa anakipiga Fountain Gate kwa mkopo akimwaga wino kuitumikia

Rais wa Jamhuri ya Cabo Verde, Mhe. José Maria Pereira Neves amewasili nchini Tanzania leo kwa ziara ya kikazi ambapo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi na

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Shirika la Masoko Kariakoo kutoa orodha ya majina ya wafanyabiashara 1,520 wanaotakiwa kurejea kwenye Soko la Kariakoo, wafanyabiashara

Dar es Salaam. Mapigano yanayoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC) yametajwa kuathiri biashara kati ya Tanzania na nchi hiyo huku Chama cha Wamiliki wa Malori