Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: February 2025

  • Home
  • 2025
  • February
  • Page 221
Habari

Mashambulizi ya Russia yaua wanne, yaharibu miundombinu Ukraine

February 1, 2025 Admin

Kiev. Jeshi la Russia limefanya mashambulizi mfululizo usiku wa kuamkia leo yaliyolenga miundombinu ya gesi iliyopo maeneo mbalimbali nchini Ukraine, Wizara ya Ulinzi ya Russia

Read More
Michezo

37 wateuliwa kamati za kudumu Coastal Union

February 1, 2025 Admin

MWENYEKITI wa Klabu ya Coastal Union, Muhsin Ramadhan Hassan, ameteua Kamati za Kudumu klabuni hapo ikiwa zimepita takribani siku 40 tangu uongozi mpya uingie madarakani.

Read More
Habari

UWT Mufindi yaonya wanaojipitisha kutia nia kabla ya wakati

February 1, 2025 Admin

Mufindi. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Mufindi, Marceline Mkini amewaonya baadhi ya wanachama wanaoanza kujipitisha kabla ya utaratibu

Read More
Michezo

Fundi wa boli arejesha mzuka kikosini KMC

February 1, 2025 Admin

KIUNGO mshambuliaji wa KMC, Msomalia Ibrahim Elias ‘Mao’ ameanza mazoezi na kikosi hicho kinachojiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam utakaopigwa Februari

Read More
Habari

Mvua iliyonyesha kwa dakika 45 yaacha kilio Moshi

February 1, 2025 Admin

Moshi. Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali, imesababisha maafa katika Kitongoji cha Zilipendwa Kata ya Makuyuni, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro baada ya nyumba kuezuliwa

Read More
Michezo

Mkongomani kiroho safi Dodoma Jiji

February 1, 2025 Admin

BEKI wa Dodoma Jiji, Mkongomani Heritier Lulihoshi amesema licha ya ujio wa mabeki wapya kikosini, Mukrim Issa ‘Miranda’ aliyetokea Coastal Union, na Abdi Banda aliyesajiliwa

Read More
Michezo

Cheki Selemani Mwalimu alivyovunja rekodi ya Msuva Morocco

February 1, 2025 Admin

MIEZI sita tu ndani ya Ligi Kuu Bara imetosha kumng’oa mshambuliaji wa Singida Black Stars ambaye alikuwa anakipiga Fountain Gate kwa mkopo akimwaga wino kuitumikia

Read More
Habari

RAIS NEVES AWASILI NCHINI,APOKELEWA NA WAZIRI CHANA

February 1, 2025 Admin

Rais wa Jamhuri ya Cabo Verde, Mhe. José Maria Pereira Neves amewasili nchini Tanzania leo kwa ziara ya kikazi ambapo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi na

Read More
Habari

Mitazamo tofauti wanaorejea sokoni Kariakoo, mamia walizwa na madeni

February 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Shirika la Masoko Kariakoo kutoa orodha ya majina ya wafanyabiashara 1,520 wanaotakiwa kurejea kwenye Soko la Kariakoo, wafanyabiashara

Read More
Habari

Vita DRC vyaacha kilio kwa wafanyabiashara Tanzania

February 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mapigano yanayoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC) yametajwa kuathiri biashara kati ya Tanzania na nchi hiyo huku Chama cha Wamiliki wa Malori

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 220 221 222 … 226 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.