Mashambulizi ya Russia yaua wanne, yaharibu miundombinu Ukraine

Kiev. Jeshi la Russia limefanya mashambulizi mfululizo usiku wa kuamkia leo yaliyolenga miundombinu ya gesi iliyopo maeneo mbalimbali nchini Ukraine, Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema. Shirika la Associated Press limeripoti kuwa katika taarifa yake kwa umma leo Jumamosi, Februari Mosi, 2025, wizara hiyo imesema mashambulizi hayo yamefanyika usiku kucha maeneo mbalimbali ya mkoa wa…

Read More

37 wateuliwa kamati za kudumu Coastal Union

MWENYEKITI wa Klabu ya Coastal Union, Muhsin Ramadhan Hassan, ameteua Kamati za Kudumu klabuni hapo ikiwa zimepita takribani siku 40 tangu uongozi mpya uingie madarakani. Hassan ambaye alichanguliwa kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo katika uchaguzi uliofanyika Desemba 23, 2024, ameteua kamati sita tofauti zinazoundwa na jumla ya watu 37. Kamati ya fedha, mipango na rasimali…

Read More

UWT Mufindi yaonya wanaojipitisha kutia nia kabla ya wakati

Mufindi. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Mufindi, Marceline Mkini amewaonya baadhi ya wanachama wanaoanza kujipitisha kabla ya utaratibu rasmi wa chama kutangazwa. Amewataka kuacha mara moja, la sivyo chama kitachukua hatua dhidi yao. Onyo hilo amelitoa leo Jumamosi, Februari Mosi, 2025 wakati wa maadhimisho ya miaka 48 ya…

Read More

Fundi wa boli arejesha mzuka kikosini KMC

KIUNGO mshambuliaji wa KMC, Msomalia Ibrahim Elias ‘Mao’ ameanza mazoezi na kikosi hicho kinachojiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam utakaopigwa Februari 6, baada ya kukaa nje ya uwanja kwa takriban miezi miwili. Nyota huyo amerejea baada ya kusumbuliwa na majeraha ya misuli yaliyomfanya kukosekana ndani ya kikosi hicho tangu mara ya…

Read More

Mvua iliyonyesha kwa dakika 45 yaacha kilio Moshi

Moshi. Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali, imesababisha maafa katika Kitongoji cha Zilipendwa Kata ya Makuyuni, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro baada ya nyumba kuezuliwa paa na kusababisha kaya kadhaa kukosa mahala pa kuishi. Pia miundombinu ya umeme imeharibiwa baada ya miti kuangukia nguzo na nyaya za umeme huku baadhi ya barabara miti ikiwa imeanguka…

Read More

Mkongomani kiroho safi Dodoma Jiji

BEKI wa Dodoma Jiji, Mkongomani Heritier Lulihoshi amesema licha ya ujio wa mabeki wapya kikosini, Mukrim Issa ‘Miranda’ aliyetokea Coastal Union, na Abdi Banda aliyesajiliwa kutokea Baroka FC ya Afrika Kusini, hana hofu ya kuwania namba. Akizungumza na Mwanaspoti, Lulihoshi alisema ujio wa mabeki hao unampa changamoto zaidi ya kupambana kila atakapopewa nafasi ya kucheza,…

Read More

Cheki Selemani Mwalimu alivyovunja rekodi ya Msuva Morocco

MIEZI sita tu ndani ya Ligi Kuu Bara imetosha kumng’oa mshambuliaji wa Singida Black Stars ambaye alikuwa anakipiga Fountain Gate kwa mkopo akimwaga wino kuitumikia Wydad Casablanca ya Morocco. Si mwingine ni Seleman Mwalimu ‘Gomez’ ambaye amesaini mkataba wa miaka minne na nusu kuitumikia Wydad inayoshiriki Ligi Kuu ya Morocco huku akiweka rekodi mpya ya…

Read More

RAIS NEVES AWASILI NCHINI,APOKELEWA NA WAZIRI CHANA

Rais wa Jamhuri ya Cabo Verde, Mhe. José Maria Pereira Neves amewasili nchini Tanzania leo kwa ziara ya kikazi ambapo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi na mzungumzaji mkuu katika Ufunguzi wa Mwaka 2025 wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu utakaofanyika Februari 3, 2025 jijini Arusha. Rais Neves amepokelewa na Waziri wa Maliasili…

Read More

Vita DRC vyaacha kilio kwa wafanyabiashara Tanzania

Dar es Salaam. Mapigano yanayoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC) yametajwa kuathiri biashara kati ya Tanzania na nchi hiyo huku Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (Tatoa) kikiiomba Serikali kuwapatia ulinzi waweze kushusha mizigo na kurudisha magari yaliyokwama nchini humo. Inaelezwa kuwa malori karibu 100 yakiwa na shehena za mizigo yaliyotoka hapa nchini yamekwama DRC…

Read More