MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wamerejea kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo baada ya kupata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Kagera Sugar
Month: February 2025

Geita. Wadau wa Mahakama Mkoa wa Geita wamesema licha ya uendeshaji wa Mahakama kwa njia ya mfumo wa teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama) kuwa

Dodoma. Baada ya mchakato wa muda mrefu hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan amezindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 toleo la mwaka 2023,

Iringa. Wananchi mkoani Iringa wamelalamikia kupanda kwa bei ya mafuta ya kula katika masoko mbalimbali, wakieleza kuwa hali hiyo inaathiri bajeti zao za kila siku.

Dar es Salaam. Wakazi wanne wa mkoa wa Kagera na Mwanza, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka 49 yakiwemo ya kutumia

Iringa. Wananchi mkoani Iringa wamelalamikia kupanda kwa bei ya mafuta ya kula katika masoko mbalimbali, wakieleza kuwa hali hiyo inaathiri bajeti zao za kila siku.

Kahama. Waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Â wamejitolea kuchangia damu katika Hospitali ya Manispaa ya Kahama mkoani humo ili kunusuru

Mtayarishaji na mzalishaji wa video na filamu mwenye uzoefu wa muda mrefu nchini Tanzania, Mussa Ally, maarufu kama Kaka Mussa. Mtayarishaji na

Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imejipanga kuboresha miundombinu ya kujifunzia na kufundishia mafunzo ya amali kama sehemu ya kuunga mkono utekelezaji wa Sera Mpya ya

Na Vero Ignatus,Arusha MAELFU ya Wananchi wa Mkoa wa Arusha leo Jumamosi Februari 1, 2025 wamejitokeza kwa wingi kwenye tukio la kuunga Mkono azimio la