Aliyehukumiwa kwa kumuua baba yake mzazi aachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani imetengua adhabu ya kifo aliyokuwa amehukumiwa Seni Lisesi, baada ya kukutwa na hatia ya kumuua baba yake mzazi, Gindu Kashinje. Awali Mei 14, 2021, Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga ilimhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kumkuta na hatia ya kumuua baba yake. Mahakama ya rufani imebatilisha adhabu hiyo baada…

Read More

ZEC yashtuka, yaonya makarani uandikishaji daftari la mpigakura

Unguja. Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji Aziza Iddi Suweid, amesisitiza kuwa tume haitarajii kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi waliokosa kuandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura iwapo wanakidhi vigezo. Amewataka wakuu wa vituo na makarani wa uandikishaji kuhakikisha kila mwenye sifa anapata haki yake ya kuandikishwa. Akizungumza leo Jumamosi, Februari…

Read More

AJALI YAUWA WATATU PAPO HAPO

Na Linda Akyoo -Moshi Watu watatu wamefariki dunia papo hapo baada ya gari dogo aina ya Toyota Rav4 kugongana uso kwa uso na basi la abiria la Kampuni ya Ester Luxury, katika eneo la Mdawi, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, leo Jumamosi, Februari 1, 2025. Akizungumza na waandishi wa Habari,Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto…

Read More

Waliofariki ajali  ya basi, Rav4 Moshi watambuliwa

Moshi. Miili ya watu watatu waliofariki kwa ajali ya gari iliyohusisha basi la kampuni ya Esther Luxury na gari dogo aina ya Toyota RAV4 mkoani Kilimanjaro, imetambuliwa. Ajali hiyo imetokea leo asubuhi, Februari Mosi, 2025 katika eneo la Mdawi, Wilaya ya Moshi, mkoani humo, baada ya dereva wa gari dogo kugongana uso kwa uso na…

Read More

DC MPOGOLO USAFI ZOEZI LA KUDUMU ILALA.

    Katika kuhakikisha  zoezi la usafi linakua la kudumu, Mkuu wa wilaya ya Ilala  Edward Mpogolo amewataka wananchi, wafanyabiashara na taasisi zote ndani ya halmashauri hiyo kufanya usafi kuwa zoezi la kudumu. Mkuu huyo wa wilaya ya Ilala ameyazungumza hayo wakati wa zoezi maalum la usafi lililofanyika february mosi 2025.  Mpogolo amesema mkakati wa…

Read More