Arusha. Mahakama ya Rufani imetengua adhabu ya kifo aliyokuwa amehukumiwa Seni Lisesi, baada ya kukutwa na hatia ya kumuua baba yake mzazi, Gindu Kashinje. Awali
Month: February 2025

LIGI Kuu Bara inazidi kupaa na kuonekana kuwa mojawapo ya ligi zenye nguvu katika Afrika. Kwa sasa Ligi hiyo inashika nafasi ya sita kwa mujibu

Unguja. Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji Aziza Iddi Suweid, amesisitiza kuwa tume haitarajii kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi waliokosa kuandikishwa katika

Na Linda Akyoo -Moshi Watu watatu wamefariki dunia papo hapo baada ya gari dogo aina ya Toyota Rav4 kugongana uso kwa uso na basi la

Moshi. Miili ya watu watatu waliofariki kwa ajali ya gari iliyohusisha basi la kampuni ya Esther Luxury na gari dogo aina ya Toyota RAV4 mkoani

Umoja wa Mataifa (UN) umetoa wito wa kukomesha vita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambako mapigano kati ya vikosi vya serikali

Ni siku nyingine tena ya Ijumaa ambapo wakali wa ubashiri Meridianbet waliamua kufunga safari na kwenda hadi Muhimbili kwa lengo la kutoa Aprons wa mama

Katika kuhakikisha zoezi la usafi linakua la kudumu, Mkuu wa wilaya ya Ilala Edward Mpogolo amewataka wananchi, wafanyabiashara na taasisi zote ndani ya

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufani, Mhe. Jacobs Mwambegele akifungua mkutano wa siku moja wa Tume na wadau wa Uchgazi

Tanga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Buriani ameagiza wananchi wote waliovamia pori tengefu la Kitwai lililopo ndani ya Kata ya Mkindi wilayani Kilindi