UELEWA WA WANANCHI KUHUSU KODI WAONGEZA MAPATO

Na. Peter Haule, WF, Dodoma Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande amesema kuwa Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kujenga uelewa kuhusu umuhimu wa kulipa kodi, utoaji wa risiti za mauzo na ununuzi wa bidhaa na huduma ikiwemo ya kutoa elimu ya kodi. Mhe. Chande ameeleza hayo bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu swali…

Read More

WATENDAJI ARDHI WATAKIWA KUTOCHELEWESHA HUDUMA KWA MAKUSUDI

Na Munir Shemweta, WANMM IRINGA Serikali imewataka watendaji wa sekta ya Ardhi nchini kutochelewesha huduma za sekta ya Ardhi kwa makusudi wakati wanapowahudumia wananchi wanaokwenda kupata huduma katika ofisi zao. Hayo yameelezwa Januari 31, 2025 mkoani Iringa na Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Hamdouny Mansoor…

Read More

Ajali ndege ya kusafirisha wagonjwa yaua sita Marekani

Philadelphia. Jinamizi la ajali za ndege limeendelea kuikumba Marekani baada ya ndege iliyokuwa imebeba mgonjwa, mama yake na wahudumu wanne kupata ajali na kuanguka eneo la Philadelphia nchini Marekani. Ndege hiyo ilipata ajali saa 12:30 jioni muda mfupi baada ya kuondoka katika uwanja nchini Marekani kumpeleka mgonjwa huyo katika matibabu ya dharura jijini Tijuana nchini…

Read More

Takukuru Mwanza yazuia upigaji Sh366 milioni

Mwanza. Wakati Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza ikitoa taarifa ya kuokoa fedha zaidi ya Sh366.9 milioni zilizokuwa hatarini kupigwa, wataalam wameshauri mbinu kudhibiti mianya ya upotevu wa makusanyo ya Serikali. Akitoa taarifa ya utendaji kazi wa Takukuru kati ya Oktoba hadi Desemba 2024, Kaimu Mkuu wa Takukuru Mkoa wa…

Read More