Na. Peter Haule, WF, Dodoma Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande amesema kuwa Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kujenga uelewa kuhusu umuhimu
Month: February 2025

WAANDAJI wa Mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon 2025 wametangaza kuongeza muda wa washiriki kuchukua nambari zao za ushiriki pamoja na T-shirts

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv WAKAZI wanne wa Kanda ya Ziwa mkoa wa Kagera na Mwanza, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es

Na Munir Shemweta, WANMM IRINGA Serikali imewataka watendaji wa sekta ya Ardhi nchini kutochelewesha huduma za sekta ya Ardhi kwa makusudi wakati wanapowahudumia wananchi wanaokwenda

TANZANIA inatarajiwa kuwa mwenyeji katika Mkutano wa 19 wa mwaka wa Jukwaa la Korosho Afrika ambao kufanyika Novemba 18 hadi 22, 2025 katika Ukumbi wa

Philadelphia. Jinamizi la ajali za ndege limeendelea kuikumba Marekani baada ya ndege iliyokuwa imebeba mgonjwa, mama yake na wahudumu wanne kupata ajali na kuanguka eneo

Mkuu wa majeshi ya HAMAS, Mohammed Deif HAMAS, wamethitibisha habari ya kuuawa kwa makamanda wake kadhaa katika mashambulizi ya Israel kwenye

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imevunja rekodi kwa kufikisha watalii milioni 5.3 (5,360,247) ambapo idadi ya watalii

Mwanza. Wakati Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza ikitoa taarifa ya kuokoa fedha zaidi ya Sh366.9 milioni zilizokuwa hatarini kupigwa,

Moshi. Watu watatu wamefariki dunia papo hapo baada ya gari aina ya Toyota Rav4 waliokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria la